Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
Mbona haya maneno na kauli zinaonekana kama za mwenyewe ma padlock kilevi?ndg kama hujaelewa ni vizuri kuuliza kuliko kuwapotosha wengine.
Amepunguza kima cha chini cha kutoza kodi kutoka 135k to 170k, hii ina maana kila mtu atapata unafuu wa kodi kwa kiasi. Kama unafahamu jinsi paye inavopigwa utakuwa umenielewa.
Acheni kupotosha watu jamani.
- "Adjust PAYE threshold as a result of enhancement of salary scales from Tshs 135,000 to Tshs 170,000"