satellite
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 616
- 164
Bajeti ya serikali iliyosomwa na waziri wa fedha inaonesha kuwa baada ya ya serikali kuongeza mishahara(kwa wafanyakazi wake wa serikali)imerevenge kwa kuongeza kodi ya mishahara hii inamaana kuwa mshahara uliongezwa kwa kiasi kidogo ila kodi imeongezwa kwa takribani 30% ss maana yake kuwa mshahara ulioongezwa ni kiini macho tu na kamwe haimsaidii mfanykazi,je ww mtazamo wako ukoje?
Nawakilisha!
Nawakilisha!
Watanzania acheni kujadili na kulalamika kwa kwa kufuata mkumbo, ukweli kuhusu PAYE ni huu hapa:
Kwa miaka mingi sasa serikali imewafutia kodi hiyo wafanyakazi wake wa kima cha chini kwa mwaka huu unaoishia June mfanyakazi anayepata kima cha chini cha 135,000/= halipi hiyo PAYE hivyo basi kuanzia July 1 mfanyakazi atakayelipwa kuanzia 170,000/= kushuka chini naye hata lipa paye,kwa wachambuzi wa mambo hii inaashiria kwamba kuanzia July kima cha chini kitakuwa 170,000/= hii ni sawa na ongezeko la 25.9%.
Hivyo nafuu hiyo ataipata kila mfanyakazi bila kujali analipwa sh ngapi kwa mwezi, ijapokuwa mwenye mshahara mkwubwa nafuu hiyo inaonekana ni ndogo.
Mfano mtumishi anayelipwa 300,000 kwa mwezi, ataktwa kodi kama ifuatavyo:
300,000-170,000=130,000, hii 130,000 ndiyo itakayopigiwa hesabu ya kodi kwa asilimia 18.
Hii ndiyo maana yake, japo kuwa hata wabunge walishindwa kuelewa