kwa hiyo mgomo wa madaktari umepewa tiketi rasmiKodi za magari hazijaongezwa, nilivyosikia mimi ni kuwa miaka ya magari chakavu imepunguzwa kutoka 10 hadi minane, maana yake ni kuwa kama kwa sasa tunalipia kodi ya uchakavu 20% kwa magari ya kuanzia miaka 10 na kuendelea, kwa sasa ni miaka 8 na kuendelea. Nadhani hii ni nzuri sana, mwakani wafanye 5 tu.
Na kingine ni baadhi misamaha ya kodi kwa magari imeondolewa. Nadhani hapa watakuwa wameumia madaktari, waalim na Watanzania wanaorudi baada ya kuishi nje, bunge linavyoendelea tutaelewa zaidi.
kwa hiyo mgomo wa madaktari umepewa tiketi rasmi
PAYE ni exponential function hivyo haiwezi kuwa sawa kwa wote hilo lipo miaka yote wenye mishara mikubwa PAYE ni kubwa kuliko wale wa chini.
utakoma je, uza magari mnne ubakize mbili, na hiyo line tupa ubakize ya tigo au
Sasa ikiongezwa asilimia 30% inakuwaje? kwa sasa hivi nalipa PAYE 26% ina maana kodi yangu itakuwa more than 40%, weka VAT, kila kitu ninachonunua kina VAT, ina maana nitalipa serikalini kodi almost 60%, hapo sijakatwa 10% ya NSSF. Nabakiwa na nini?? Wafanyakazi lets fight for our rights. This is too much. Yale matrilioni yanayosamehewa wameongeleaje?Bajeti ya serikali iliyosomwa na waziri wa fedha inaonesha kuwa baada ya ya serikali kuongeza mishahara(kwa wafanyakazi wake wa serikali)imerevenge kwa kuongeza kodi ya mishahara hii inamaana kuwa mshahara uliongezwa kwa kiasi kidogo ila kodi imeongezwa kwa takribani 30% ss maana yake kuwa mshahara ulioongezwa ni kiini macho tu na kamwe haimsaidii mfanykazi,je ww mtazamo wako ukoje?
Nawakilisha!
ndg kama hujaelewa ni vizuri kuuliza kuliko kuwapotosha wengine.
Amepunguza kima cha chini cha kutoza kodi kutoka 135k to 170k, hii ina maana kila mtu atapata unafuu wa kodi kwa kiasi. Kama unafahamu jinsi paye inavopigwa utakuwa umenielewa.
Acheni kupotosha watu jamani.
- "Adjust PAYE threshold as a result of enhancement of salary scales from Tshs 135,000 to Tshs 170,000"
Hata mimi sijwamwelewa huyu mleta mada. Nimeisoma bajeti yote ambayo iko hapa jamvini sijaona mahali waziri wa fedha ametangaza kuongeza PAYE kwa wafanyakazi. May be nimeruka kama anacho kipengele hicho atuwekee hapa vinginevyo mods waondoe huu uzi maana unapotosha watu.
ndg kama hujaelewa ni vizuri kuuliza kuliko kuwapotosha wengine.
Amepunguza kima cha chini cha kutoza kodi kutoka 135k to 170k, hii ina maana kila mtu atapata unafuu wa kodi kwa kiasi. Kama unafahamu jinsi paye inavopigwa utakuwa umenielewa.
Acheni kupotosha watu jamani.
- "Adjust PAYE threshold as a result of enhancement of salary scales from Tshs 135,000 to Tshs 170,000"
Kama wewe ni mfanyakazi subiria mshahara wa mwezi wa 7 ndio utamwelewa huyo mleta mada.Hata mimi sijwamwelewa huyu mleta mada. Nimeisoma bajeti yote ambayo iko hapa jamvini sijaona ............mods waondoe huu uzi maana unapotosha watu.
Bajeti ya serikali iliyosomwa na waziri wa fedha inaonesha kuwa baada ya ya serikali kuongeza mishahara(kwa wafanyakazi wake wa serikali)imerevenge kwa kuongeza kodi ya mishahara hii inamaana kuwa mshahara uliongezwa kwa kiasi kidogo ila kodi imeongezwa kwa takribani 30% ss maana yake kuwa mshahara ulioongezwa ni kiini macho tu na kamwe haimsaidii mfanykazi,je ww mtazamo wako ukoje?
Nawakilisha!
Yaani nimeichukia, ila naogopa Mungu tu, hawa jamaa na wabunge wao! Ngoja 2015.
Mkuu KODI ni muhimu sana kwa maendeleo ya taifa lolote, mgogoro pekee upo kwenye jinsi gani kodi inatumiwa na taifa husika. Tatizo la TZ ni kodi kupelekwa sehemu kusiko sahihi.