samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 354
Daah sasa kihama! tujipe pole sisi walalahoi! Maana watoa kushoto waweka kulia, ombilangu kwa viongozi wetu wa chadema tuliowapa dhamana kubwa ya kututetea na kulinda maisha yetu,tunaomba mtuwakilishe kwa kutoipitisha bajeti hii! Kwani sasa wanatuwaliza kabisa, hadi itakapo fika 2015 chamoto tutakuwa tumekiona.mungu watienguvu(makamanda) wote watakao kwenda kunena juu ya sisi maskini 71% tuliopo vijini tusiejua tofauti ya jana na leo,na ukawalaani wote watakao kwenda kunena kwa unafki juu ya bajeti hii (magamba). Amiina!