Je, kuongea matusi bungeni kunaruhusiwa ?

Je, kuongea matusi bungeni kunaruhusiwa ?

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
31,636
Reaction score
81,533
Kwa kanuni za bungeni , ni ruksa mbunge kutukana matusi .?

Ikiwa matusi hayaruhusiwi je inakuaje Mbunge anaongea lugha Kali zenye viashiria Vya matusi na hachukuliwi hatua yoyote?.

Kwakuwa sehemu Kama Bungeni ni sehemu ambayo zamani iliaminika inawakutanisha watu Fulani wenye upeo wa juu wa kuchambua mambo ya nchi Kama sheria n.k

Tuwe makini zamani MTU alikuwa anaweza kufanya vituko Ila sasa watu wanaweza kukufatilia hata wakiwa mbali .
 
Kwa kanuni za bungeni , ni ruksa mbunge kutukana matusi .?

Ikiwa matusi hayaruhusiwi je inakuaje Mbunge anaongea lugha Kali zenye viashiria Vya matusi na hachukuliwi hatua yoyote?.

Kwakuwa sehemu Kama Bungeni ni sehemu ambayo zamani iliaminika inawakutanisha watu Fulani wenye upeo wa juu wa kuchambua mambo ya nchi Kama sheria n.k

Tuwe makini zamani MTU alikuwa anaweza kufanya vituko Ila sasa watu wanaweza kukufatilia hata wakiwa mbali .
Kama kuwaita watu Kenge.Huyu mtavangu,wahehe na wa Iringa mkimpa ubunge nitawashangaa sana, Labda aletwe Mirembe hospital?
 
Kwa kanuni za bungeni , ni ruksa mbunge kutukana matusi .?

Ikiwa matusi hayaruhusiwi je inakuaje Mbunge anaongea lugha Kali zenye viashiria Vya matusi na hachukuliwi hatua yoyote?.

Kwakuwa sehemu Kama Bungeni ni sehemu ambayo zamani iliaminika inawakutanisha watu Fulani wenye upeo wa juu wa kuchambua mambo ya nchi Kama sheria n.k

Tuwe makini zamani MTU alikuwa anaweza kufanya vituko Ila sasa watu wanaweza kukufatilia hata wakiwa mbali .
Sio matusi tuu
Yaani hata kumtuhumu mtu ambae hana nafasi ya kujibu hizo tuhuma bungeni ni kosa.
Sasa kwa vile pale hakuna bunge bali kikao cha wana Ccm, basi huweza ongea lolote.
 
Kwa kanuni za bungeni , ni ruksa mbunge kutukana matusi .?

Ikiwa matusi hayaruhusiwi je inakuaje Mbunge anaongea lugha Kali zenye viashiria Vya matusi na hachukuliwi hatua yoyote?.

Kwakuwa sehemu Kama Bungeni ni sehemu ambayo zamani iliaminika inawakutanisha watu Fulani wenye upeo wa juu wa kuchambua mambo ya nchi Kama sheria n.k

Tuwe makini zamani MTU alikuwa anaweza kufanya vituko Ila sasa watu wanaweza kukufatilia hata wakiwa mbali .
Kwa wabunge wa ccm inaruhusiwa
 
Hairuhusiwi Nakumbuka kipindi cha JK Sugu alikutuna na adhabu
 
Hairuhusiwi Nakumbuka kipindi cha JK Sugu alikutuna na adhabu
Sugu aliwahi kuwa mwana CCM kwani?

Maana ishu siyo nani anaropokwa matusi inshu ni anayeropokwa hayo matusi anatokea upande gani?
 
Back
Top Bottom