unprejudiced
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 3,505
- 2,862
Mkuu ukikaa na kusema Mungu hayupo kutakuwa na shida, na mwenzako Akasema yupo? Mana kwanza lazima mkubaliane kuwa na uelewa mmoja. Wewe unazungumzia kutokuwepo kwa „mungu-Mungu“ wa Aina gani na yeye anazungumzia kuwepo kwa „ Mungu -mungu“ Wa aina gani.Hujathibitisha Mungu yupo.