Chauro
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 2,968
- 1,476
- Thread starter
- #21
kuna mambo mengi yanayopelekea kufanya hayo ,hamna sababu moja unayoweza kuiweka ikaleta jibu sidhani kama kuna binadamu unayempa vote halafu akacheat labda kama akili yake ina matatizo,..... angalia hata ndoa no 1 mume anatoa kila kitu lakini mke anagugumia na ulevi wa mume, umalaya nk
Chauro nikuulize swali....
Why do women cheats?
Especially kama kila kitu unampa?