Ebwanandio
Member
- Aug 23, 2019
- 48
- 63
Kumbe...hata mimi subaru nikiweka mafuta ya elfu 10 natembea kilometa 40 bila Ac.Nimetumia hillo neno kuonyesha tofauti mfano subaru yangu nikiweka ya elfu 10 na AC mjini kukiwa na foleni ni km 25 bila folen km 32 bila AC kilometa 40, nikiweka mafuta ya laki na AC bila foleni napoteza kilometa 80, na foleni napoteza mpaka kilometa 95 kwa mafuta ya laki moja, tofauti ni kubwa sana.