Leslie Mbena
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 207
- 677
JE, KUNA UBAYA KWENDA KUMJULIA HALI NA KUMPA POLE MAMA JANETH MAGUFULI!?
Kwanza nilimuona mtoto wa Hayati Rais Magufuli akisema mama yao hajisikii vizuri tangu Mzee alipotangulia.
Baadae nikaona habari ya Baba Mdogo kupita Chato akielekea Kigoma na watoa habari walisema amekwenda kumjulia hali Mama Magufuli and it made sense, ukizingatia hotuba ya kijana wake alisema Mama hajisikii vizuri.
Sasa kama Mama Janet yuko Dar hata Baba Mkubwa juzi alienda kumuona, kwa mila zetu Watanzania ni vizuri Watanzania wakaendelea kumtembelea kumpa pole na kumfariji.
NB.
Tusisahau kwamba Mama Janeth Magufuli anaweza kutumika kama MTAJI WA KISIASA kwa mazuri aliyofanya Hayati Rais John Magufuli kwa ajili ya Uchaguzi ujao wa 2025.
Kwanza nilimuona mtoto wa Hayati Rais Magufuli akisema mama yao hajisikii vizuri tangu Mzee alipotangulia.
Baadae nikaona habari ya Baba Mdogo kupita Chato akielekea Kigoma na watoa habari walisema amekwenda kumjulia hali Mama Magufuli and it made sense, ukizingatia hotuba ya kijana wake alisema Mama hajisikii vizuri.
Sasa kama Mama Janet yuko Dar hata Baba Mkubwa juzi alienda kumuona, kwa mila zetu Watanzania ni vizuri Watanzania wakaendelea kumtembelea kumpa pole na kumfariji.
NB.
Tusisahau kwamba Mama Janeth Magufuli anaweza kutumika kama MTAJI WA KISIASA kwa mazuri aliyofanya Hayati Rais John Magufuli kwa ajili ya Uchaguzi ujao wa 2025.