Tuna dola watakaoleta za kuleta tutafanya yetu.Je hawa watakaa kimya na kufunika kombe mwanaharamu apite?
February
Mpini
Katelefoni
Pasta Gwa
Na maamuzi ya leo ya halfrey
Unaweza kuongeza na wengine.. Lakini inawezekana kabisa October mbaliView attachment 3404325
sio uasi bali mpasuko ambao unatokana na maslahi binafsi,au kutengwa hivyo mara tu ccm itakapotangaza wagombea wa ubunge,basi hapo ndipo mpasuko mkubwa utatokeaJe hawa watakaa kimya na kufunika kombe mwanaharamu apite?
February
Mpini
Katelefoni
Pasta Gwa
Na maamuzi ya leo ya halfrey
Unaweza kuongeza na wengine.. Lakini inawezekana kabisa October mbaliView attachment 3404325
Nimeweka la Poleole , sidhani kama ni kweli, ana guts za kuandika hivyo na akabaki salama?Je hawa watakaa kimya na kufunika kombe mwanaharamu apite?
February
Mpini
Katelefoni
Pasta Gwa
Na maamuzi ya leo ya halfrey
Unaweza kuongeza na wengine.. Lakini inawezekana kabisa October mbaliView attachment 3404325
Hata ukipiga plast juu juu unaamka unaona ufa umeshuka....hahahaUkiona ufa nje ujue umeanzia ndani
Damu ya Lissu i karibu kuleta ukombozi. Tuliwaonya mapemaKutoka kwa Gwajima, was a sign, hii meli inaanguka, unawezaje mtendea vile Lisu jamani?
The rise of SKMG?
Thread 'Nini hatima ya Tanganyika baada ya 2025 kama uchaguzi utafanyika?' Nini hatima ya Tanganyika baada ya 2025 kama uchaguzi utafanyika?Hawa watakuwa ndiyo waliookestreti Ile ishu ya kusema mama hatagombea 2025.
Je,mkishangazwa kwa kuwakuta wanapiga selfie kwenye viambaza vya nyumbani kwako?Tuna dola watakaoleta za kuleta tutafanya yetu.