YesUnataka sekunde zionekane pale juu au ni sehem gani?
Then fata maelekezo ya post juu hapo
NimechemkaThen fata maelekezo ya post juu hapo
Umetumia ile app?Nimechemka
Baadhi ya oem wanatoaga option ya system ui tuner. Jaribu kwa app ile uone kma itakupeleka hukoKwa redmi note 10 siipati kabisa mzee
Kwaajili ya mambo ya mambo ya kuretrive sauti kutoka kwenye sound card ya simu. Unless kma una debug games (kwa developers) hakuna maana ya kuibadilishaView attachment 1792664Hii nayo inakazi gani kiongozi
Yangu inaonyesha nikiiset kupitia System UI Tuner hata kuiondoa icon kabisa kwenye notification panel naweza..Wadau wa sayansi habarini.
Hivi kuna simu yenye kuonesha saa na sekunde kwenye screen?
Kama ipo picha tafadhali.
Pale juu ya simu yako kama kuna ki icon cha settings jaribu kuhold kile kizunguke kwa muda wa kama sekunde 30 mpaka 1, system ui tuner inaweza kua enabled.. Lakini hii njia inategemeana na simu! Kuna zingine zinagomaga..Kwa redmi note 10 siipati kabisa mzee
Simu yangu imegoma kuinsta ile appUmetumia ile app?
Simu yangu nahic haina uwezo wa kuinstall hiyo appYangu inaonyesha nikiiset kupitia System UI Tuner hata kuiondoa icon kabisa kwenye notification panel naweza..
Kama device yako ina support ku enable system ui tuner basi utaweza tweak features zilizopo..