Je, kuna siku Zanzibar itajitenga kisa …?

Je, kuna siku Zanzibar itajitenga kisa …?

Walivyoshikwa sijui watajitoaje! Jumbe alijitahidi akaishia kuzeekea hapo mji mwema.
 
Zaweza ibuka fyoko fyoko kadhaa je yaweza kusababishwa marais wanaotoka upande wa pili? Maana wanajambo lao kifuani japo hawasemi hadharani ila nadhani there is a day zenji wataamua kukaa pembeni baada ya kuvuna bara bya kutokasha kutokana na awamu ambayo yaweza kuwa ya Bara kuhoji mzenji alowatangulia alokwepesha yaende kwao

Britanicca
HUU MUUNGANO ULIKOSEWA KUTUMIWA KWA KUUNGANISHA UDONGO .BORA KUNGEKUWA NA MAKARATASI UNGECHANWA ASUBUHI TU
 

mkisoma historia mtaelewa yanayoendela leo hii, zamani zanzibar ilikuwa ni mini empire iliyotawala pwani yetu mpaka mombasa chini ya sultani hivyo kwa wanzanzibari wanaomuwakilisha sultani waliporwa koloni lao na mzungu mjerumani na sasa wamelirudia siyo coincindence sasa hivi kahamia zanzibar na ruling us from zanzibar, usisahahu waziri wake on records alisema ikulu yetu ilikuwa madrasa hata walipopora bandari zetu walisema mwarabu amerudi kuchukuwa kilichokuwa chake, kule kenya kuna harakati pia za ''pwani si kenya'' lengo ni hilo hilo ila hawa huku kwetu wako mbele ya muda kwa kenya ni ngumu kwa sababu muslims hawawezi kupata power kenya, never ever.

we are living in dangerous times, hii ni zaidi siasa na chadema, muslims wako vitani against the so called ''mfumo Kristo'' tangia uhuru na lengo ni kuestablish dola ya kiislamu na makao makuu yakiwa zanzibar na muscat, kinachoendelea ni play book, chapter after chapter, tayari banking sector inafwata islamic sharia hata kwa benki ambazo ni za public kama crdb ...
 
Wadanganyika can't wait for that...
Please, let it happen...🥺🥺🥺🥺🥺
 
Back
Top Bottom