prof major general Dr yodan mtalima kohi alikaa COSTECH kama mkurungezi kwa miaka 13 ,ila Bwana mkubwa wa awamu ya nne alitengua uteuzi wake na kurudishwa Jeshini ,inasemekana utendaji mbovu wa walio chini yake na alishindwa kuiindeleza sayansi nchi kwa miaka yote hiyo aliyokuwa mtendaji mkuu wa chombo cha wanasayansi TZ ,Tetesi zingine kuwa bwana mkubwa alichukia aliposikia watendaji wa chini yake walikuwa wanatumia magari kwenye ishu za ujangili,mara jengo la serikali watumishi waliochini yake wakapaka rangi za matangazo ya kampuni fulani ya simu nk........ miaka ya mwisho ya utumishi wake alitumika vizuri kama mtabibu lugalo na kufanya vizuri sana kwenye fani yake.Pia inasemekana ni mtaalam pekee wa medical law TZ