Je kuna maprofesa na madokta (PhD) jeshini??

Je kuna maprofesa na madokta (PhD) jeshini??

prof major general Dr yodan mtalima kohi alikaa COSTECH kama mkurungezi kwa miaka 13 ,ila Bwana mkubwa wa awamu ya nne alitengua uteuzi wake na kurudishwa Jeshini ,inasemekana utendaji mbovu wa walio chini yake na alishindwa kuiindeleza sayansi nchi kwa miaka yote hiyo aliyokuwa mtendaji mkuu wa chombo cha wanasayansi TZ ,Tetesi zingine kuwa bwana mkubwa alichukia aliposikia watendaji wa chini yake walikuwa wanatumia magari kwenye ishu za ujangili,mara jengo la serikali watumishi waliochini yake wakapaka rangi za matangazo ya kampuni fulani ya simu nk........ miaka ya mwisho ya utumishi wake alitumika vizuri kama mtabibu lugalo na kufanya vizuri sana kwenye fani yake.Pia inasemekana ni mtaalam pekee wa medical law TZ
Nina swali, huwa wanaingia wakishakuwa na hizo doctorates au kabla na kujiendeleza wakiwa jeshini?
 
Ukimuona kijana mdogo JWTZ amechafuka manyota ujuwe ni elimu ndio ilimpa ajira ya jeshini.
Taaluma zote zipo jeshini. Mainjinia ndio usiseme.
Nina swali, huwa wanaingia wakishakuwa na hizo doctorates au kabla na kujiendeleza wakiwa jeshini?
 
Jeshini ndio kwenye fursa za kusoma nyingi kwa mtu anayependa kujiendeleza....kwenye u professor nafiki huu unapatikana ukiwa mwalimu(wa vyuo)....kwahiyo huko kwenye ma vyuo ya jeshi huenda wapo sina hakika.
 
Habari.
Nilitaka kujua maana sijawahi waona wala kusikia hawa 'wasomi' ktk nyanja ya jeshi eidha jwtz au polisi au jeshi lolote!
Wapo wengi tu nasikia wapo watuu wamesoma masters mpaka India wqpo kule
 
Nina swali, huwa wanaingia wakishakuwa na hizo doctorates au kabla na kujiendeleza wakiwa jeshini?
sehemu pekee unayoweza kufanya career development ukafika mbali ni kwenye majeshi ndio maana yanawasomi wengi sana.......
 
Kuna afisa magereza mmoja yupo pale ukonga karibu na bwalo PhD holder ila kama zimeruka.iv anakula sana musuba
 
Bro kusema uongo ni kwa kukusudia.Ila kusahau au kuongea kitu kwa kudhani sio uongo ni kuteleza.Somo la filosofia hapa ndio mahali pake

Mkuu hili jina lako la Mzee Meko ni yule wa Sani? Nimekumbuka mbali.
 
Kwa ufupi ww elewa tu afisa(kuanzia nyota1 n above) yeyote lazma awe na elimu kiwango cha chini 4m6 o diploma


Hivyo unavyojiendeleza kielimu,kushiriki matukio ya kishujaa kama vita au uokoaji,kufanya kaz kwa mda mrefu ndio vnapelekea kuzid kupanda cheo
WASOMI WAPO TENA WENYE BALAA ACHA
 
Wapo wakutosha Dr mkuu wa jeshi kipindi cha mgomo wa ma Dr Muhimbili alikuwa anaitwa Dr,Prof,Brigadier general? ???? Namuhifadhi kwa wasiojulikana taaluma zote zilizo uraiani pia ziko jeshini.Kudhibitisha hili wakati waongoza ndege waligoma hawa jamaa kitengo cha anga walikwenda kushika usukani.Vyeo vyao ambavo ndio maarufu vinafunika vyeo vyao vya kisomi hawa jamaa hawana majivuno.Jeshi la Marekani tafiti za mambo ya tiba na anga zinafanyikia kwao. Enzi za Nyerere marubani wa ATC japo walikuwa wanaonekana raia lakini walikuwa wanajeshi.Hivi unajua mkuu wa jeshi la magereza ni mwanamke na ana phD?

UMEKOSEA SANA HAPO NILIPO BOLD HAKUNA MKUU WA MAGEREZA MWANAMKE BALI IDARA YA UHAMIAJI INAONGOZWA NA DR. MAKAKALA AMBAYE NI MWANAMKE SIJUI KAMA ANA UHUSIANO NA LT. GENERAL SAMWEL MAKAKALA ALIYEKUWA MKUU WA CHUO CHA ULINZI CHA TAIFA (NDC) NA SASA NI BALOZI WA ZIMBABWE NA MAGEREZA NI DR JUMA MALEWA
 
UMEKOSEA SANA HAPO NILIPO BOLD HAKUNA MKUU WA MAGEREZA MWANAMKE BALI IDARA YA UHAMIAJI INAONGOZWA NA DR. MAKAKALA AMBAYE NI MWANAMKE SIJUI KAMA ANA UHUSIANO NA LT. GENERAL SAMWEL MAKAKALA ALIYEKUWA MKUU WA CHUO CHA ULINZI CHA TAIFA (NDC) NA SASA NI BALOZI WA ZIMBABWE NA MAGEREZA NI DR JUMA MALEWA
Ahsante mkuu nimeteleza kidogo
 
Wapo wakutosha Dr mkuu wa jeshi kipindi cha mgomo wa ma Dr Muhimbili alikuwa anaitwa Dr,Prof,Brigadier general? ???? Namuhifadhi kwa wasiojulikana taaluma zote zilizo uraiani pia ziko jeshini.Kudhibitisha hili wakati waongoza ndege waligoma hawa jamaa kitengo cha anga walikwenda kushika usukani.Vyeo vyao ambavo ndio maarufu vinafunika vyeo vyao vya kisomi hawa jamaa hawana majivuno.Jeshi la Marekani tafiti za mambo ya tiba na anga zinafanyikia kwao. Enzi za Nyerere marubani wa ATC japo walikuwa wanaonekana raia lakini walikuwa wanajeshi.Hivi unajua mkuu wa jeshi la magereza ni mwanamke na ana phD?
Mkuu wa jeshi la Magereza nchini yaani Commissioner General ni mwanaume na ni kweli ana hold hadhi Dr.
 
Kuna mmoja tena ni best ' Neurologist ' akiwa amesomea nchini Urusi na amehudumu sana hapo Lugalo Hospital anaitwa Professor Yardon Kohi amestaafu akiwa na Cheo cha Brigedia anaishi Mbezi Beach barabara ya zamani ya kwenda Goba. Tena asikudanganye Mtu huko Jeshini ndiyo kuna ' Wasomi ' waliotukuka hadi balaa.
Kweli kabisa hawa watu wanatambulishwa tu kwa vyeo vyao vya kijeshi,ila wapo wasomi wengi sanasana pale ndani,kumbuka dunia imebadilika sn majeshi karibia yote yanaongozwa kisomi kwani teknolojia imejaa ktk majeshi yetu
 
Nipo na police wengi hapa n Masters holder.
 
Kuna mmoja tena ni best ' Neurologist ' akiwa amesomea nchini Urusi na amehudumu sana hapo Lugalo Hospital anaitwa Professor Yardon Kohi amestaafu akiwa na Cheo cha Brigedia anaishi Mbezi Beach barabara ya zamani ya kwenda Goba. Tena asikudanganye Mtu huko Jeshini ndiyo kuna ' Wasomi ' waliotukuka hadi balaa.
Wengi miongoni mwa maofisa waandamizi wa JWTZ ni wasomi wenye credentials za Military engineering, fani ambayo ina ngazi hadi ya shahada ya masters. Jeshi la Polisi nako kadhalika mbali na fani ya sheria ambayo ina credentials za viwango tofauti maafisa wengi wa ngazi za juu Polisi wamefuzu fani za taaluma ya Criminology ambayo sina hakika kama ina ngazi ya PhD. Ila ni elimu pana sana yenye kuhusisha course zenye masomo mengi.
 
Back
Top Bottom