Maelimu ya wtz hayanaga impact yoyote zaidi ya kugaiwa cheo.They don't solve critical problems of black people,they don't innovate neither invent new technologies. Tofauti ya waafrika waliosoma na wasiosoma hizo PhD ni madaraja ya vyeo,PhD ktk Afrika ni siraha ya kuwanyanyapaa wasiosoma has a ktk siasa.PhD za wenzetu huzitumia kuunda siraha Kali za kibailojia,siraha Kali za nyuklia,siraha Kali za kikemikali.PhD za kiafrika ni za Ku evaluate vitu vilivyoundwa na wenzao ulaya China,urusi,India nk.Mtanisamehe hill ndio jicho langu, hivyo ziwepo zisiwepo hazina impact.Prove me wrong!.