Je kuna maprofesa na madokta (PhD) jeshini??

Je kuna maprofesa na madokta (PhD) jeshini??

WAPO WENGI TU TENA WA FANI TOFAUTI.SIKU HIZI MAMBO YA KWENDA JESHINI ETI KWASABABU TU MREFU KAMA TWIGA HAKUNA TENA
 
Kwa vile uprofesa hupatikana kwa kupanda cheo mtu mwenye PhD, uwezekano pekee ni mtu ambaye tayari ni profesa kutoka taasisi ya elimu ya juu kuingia jeshini akiwa tayari ni Profesa.
Si rahisi kihivyo lakini. PhD mtu akiwahi sana Itakuwa chini ya miaka 30. Kunaweza kuwa na exceptions chache. Kutoka PhD hadi Profesa kawaida ni miaka 9. Sasa mtu huyo kuingia jeshini atakuwa na miaka 40 tena yule aliwahi kabisa.
Hapo ndiyo Kuna kimbembe!
wanasoma jeshini..
jeshini ndilo eneo ambalo wanasoma sana..
 
Kwa vile uprofesa hupatikana kwa kupanda cheo mtu mwenye PhD, uwezekano pekee ni mtu ambaye tayari ni profesa kutoka taasisi ya elimu ya juu kuingia jeshini akiwa tayari ni Profesa.
Si rahisi kihivyo lakini. PhD mtu akiwahi sana Itakuwa chini ya miaka 30. Kunaweza kuwa na exceptions chache. Kutoka PhD hadi Profesa kawaida ni miaka 9. Sasa mtu huyo kuingia jeshini atakuwa na miaka 40 tena yule aliwahi kabisa.
Hapo ndiyo Kuna kimbembe!
Unaweza kuwa na PhD ukiwa na masters mkuu pia usichukulie uproffessor ni level ya juu ya usomi PhD ni zaidi.uproffessor ni publication na research
 
Kuna mmoja tena ni best ' Neurologist ' akiwa amesomea nchini Urusi na amehudumu sana hapo Lugalo Hospital anaitwa Professor Yardon Kohi amestaafu akiwa na Cheo cha Brigedia anaishi Mbezi Beach barabara ya zamani ya kwenda Goba. Tena asikudanganye Mtu huko Jeshini ndiyo kuna ' Wasomi ' waliotukuka hadi balaa.
Kohi amestaafu akiwa na cheo cha Meja Jenerali
 
Sasa kwa akili yako Daktari wa binadamu na mtu mwenye PHD ya maganda ya korosho hapa nani ni bora zaidi ambaye huduma yake inahitajika?
Wee kwa akili yako unaonaje onaje?? Hata binadamu wana symbiotic relationship! Huyo daktari wako unayemuona ana umuhimu kuliko wengine deep down anamtegemea mfagia barabara ili aishi na avute pumzi!
Think outside the box kijana!
Mfagia barabara asipoumwa huyo daltari wako atatibu hewa??
Na swali langu lililenga madokta wa PhD ( Doctors of Philosophy).
 
Yupo mmoja ni 2/c wa komandi ya Anga, jina kapuni. Mzee yule alianza kwa kuwa daktari (MD), then alivyoingia jeshi akachaguliwa akasomee uinjinia wa ndege (aeronautics engineering, ambapo ana masters kwenye upande huo!). Mpaka sasa jamaa ni brigedia jenerali (kama sijakosea).
Alafu mzee yule ukimuona wala huwezi mdhania..! Very social!
MD sio PhD.
Hata Mashinji ni doctor, sijui wajua hili??
 
Unaweza kuwa na PhD ukiwa na masters mkuu pia usichukulie uproffessor ni level ya juu ya usomi PhD ni zaidi.uproffessor ni publication na research
Ni dhahiri unayosema. Huko kupanda cheo mwenye PhD vigezo vyake ni hizo publications!
 
Kwa vile uprofesa hupatikana kwa kupanda cheo mtu mwenye PhD, uwezekano pekee ni mtu ambaye tayari ni profesa kutoka taasisi ya elimu ya juu kuingia jeshini akiwa tayari ni Profesa.
Si rahisi kihivyo lakini. PhD mtu akiwahi sana Itakuwa chini ya miaka 30. Kunaweza kuwa na exceptions chache. Kutoka PhD hadi Profesa kawaida ni miaka 9. Sasa mtu huyo kuingia jeshini atakuwa na miaka 40 tena yule aliwahi kabisa.
Hapo ndiyo Kuna kimbembe!
You are logically correct, ila jeshini hawawezi kukusomesha au kukupa fursa ikiwa tayari ndani ya chombo ukasome hadi uprofesa??
 
Wapo wakutosha Dr mkuu wa jeshi kipindi cha mgomo wa ma Dr Muhimbili alikuwa anaitwa Dr,Prof,Brigadier general? ???? Namuhifadhi kwa wasiojulikana taaluma zote zilizo uraiani pia ziko jeshini.Kudhibitisha hili wakati waongoza ndege waligoma hawa jamaa kitengo cha anga walikwenda kushika usukani.Vyeo vyao ambavo ndio maarufu vinafunika vyeo vyao vya kisomi hawa jamaa hawana majivuno.Jeshi la Marekani tafiti za mambo ya tiba na anga zinafanyikia kwao. Enzi za Nyerere marubani wa ATC japo walikuwa wanaonekana raia lakini walikuwa wanajeshi.Hivi unajua mkuu wa jeshi la magereza ni mwanamke na ana phD?
Hapana mheshimiwa, mkuu wa magereza ni mwanaume na kweli ni Doctor
 
You are logically correct, ila jeshini hawawezi lulisomesha au kulupa fursa ikiwa tayari ndani ya chombo ukasome hadi uprofesa??
Jeshini wana vyeo vyao vya kijeshi. Uprofesa hupatikana kwenye taasisi za elimu ya juu. Hapo ndiyo kwenye detail yenyewe!
Mwanajeshi atasoma PhD na anaweza ku publish sana tu. Lakini kama mwajiri wake ni Jeshi, sidhani kama atafikia uprofesa. No way!
Na kwa mfumo wa Uingereza, uprofesa pamoja na ku publish kama kigezo muhimu, ni cheo cha kiutawala pia. Mkuu wa idara kwenye Chuo ndiyo hupewa title ya Professor. Ndiyo maana sio wengi sana Uingereza!
Hapa kwetu tunapeana kama njugu tu
 
Back
Top Bottom