Je kuna Madhara yeyote ya kubadili rim size ya tyre

jail

JF-Expert Member
Oct 13, 2012
477
179
habari wana jf
je kuna madhara yeyote unapobadili rim ya tyre size 14 kwenda size 15 ili gari inyanyuke.naombeni mawazo yenu
 
Gari inapendezaa sanaaa
 

Attachments

  • 1389984961179.jpg
    1389984961179.jpg
    67.1 KB · Views: 351
gas consumption increases;decreased space between tire and the roof that covers the tire means less payload than before
 
Madhara yapo mengi tu..kwanza gari inakuwa inakula mafuta kuliko kawaida yake coz unakuwa imwiongezea mzunguko ambao haikutengezwa nayo lkn pia uimara wa brake zake unakuwa shakani coz muundo wa brake unaendana na ukubwa au size ya matairi...kwenye mteremko mrefu na mkali brake zinaweza kufail
 
Madhara yapo mengi tu..kwanza gari inakuwa inakula mafuta kuliko kawaida yake coz unakuwa imwiongezea mzunguko ambao haikutengezwa nayo lkn pia uimara wa brake zake unakuwa shakani coz muundo wa brake unaendana na ukubwa au size ya matairi...kwenye mteremko mrefu na mkali brake zinaweza kufail

Hebu funguka zaid hapa sababu brake kama ya piston type una exert pressure wewe na.kukuzwa na cylinder na kusukuma pads kubana pasi au shoe na drum n.k ni wapi diameter inakutana na pressure unless ingekuwa ni gross body weight sababu pressure isingeweza kuzuia msukumo!!!!?????
 
Madhara yapo bei ya Tairi inaongezeka Pamoja na rim pia tairi size 15 haiuziki kwny used kama size 14
 
mi ninachojua ni kuwa ukiongeza rim size lazma ubadilishe tairi ili ziendane na rim uliyoweka. mfano kama tairi yako ilikuwa 195/70R14 itabidi ununue tairi 195/65R15 ili ku maintain the same diameter. matatizo yaliyotajwa hapo juu yatatokea endapo utaweka 195/70R15 kwani diameter itaongezeka.
 
Tunashauriwa kitaalamu kuomba consultation kwa wataalamu/manufactures kudetermine allowable range ya rim widths kwa specific tire size!
Note!
Running a tire on a rim size or type not approved by its manufacturer can result in tire failure and a loss of vehicle control.
 
Madhara yapo mengi tu..kwanza gari inakuwa inakula mafuta kuliko kawaida yake coz unakuwa imwiongezea mzunguko ambao haikutengezwa nayo lkn pia uimara wa brake zake unakuwa shakani coz muundo wa brake unaendana na ukubwa au size ya matairi...kwenye mteremko mrefu na mkali brake zinaweza kufail

Mkuu hii physics sijaielewa vizuri hebu fafanua, hasa kuhusu breaking system, ile kula mafuta kidooogo ni sawa assuming the load remain constant bt break mmmmh! Nionavyo mm breaking system inategemea na weight nzima ya gari plus load, ukiongeza size ya rim umeongeza weight sawa na kupakia abiria, tyre kubwa meanz more tracking so linaboost breaking effect between tyre n tarmac, sasa hii theory yako hebu funguka kidogo utujuze , tunazidiana uelewa tafadhali.
 
habari wana jf
je kuna madhara yeyote unapobadili rim ya tyre size 14 kwenda size 15 ili gari inyanyuke.naombeni mawazo yenu

madhara yapo
1.kula mafuta-rims kubwa zina weight kubwa especially alloy wheels ni nzito,so nguvu kubwa inatumika kuyazungusha,ndio maana hamna gari inatoka kiwandani na alloys ndefu coz mahesabu yao ya miles/per gallon yatakuwa too high hence watascare wateja.
2.matairi kugusa wheel arches wakati wa kona kali[huwa inanitokea hata mimi nimebadili profile tu za matairi acha rims] ila unaweza kukwepa hili kwa kuangalia specifiction za gari yako about maximum rim diameter
3.stability-very little effect u wont notice under normal use unless ur a racer.
 
Madhara yapo mengi tu..kwanza gari inakuwa inakula mafuta kuliko kawaida yake coz unakuwa imwiongezea mzunguko ambao haikutengezwa nayo lkn pia uimara wa brake zake unakuwa shakani coz muundo wa brake unaendana na ukubwa au size ya matairi...kwenye mteremko mrefu na mkali brake zinaweza kufail

actually kama anaweka rims kubwa mzunguko utapungua for the same distance covered, coz the bigger the rim the bigger the circumference and vice versa......yaani tairi la inch 10 litazunguka nusu ya tairi la inch 5 in order to cover the same distance hence less fuel consumption.
 
kunawatu jf wabishi sana aisee??
mkuu madhara yapo bisha usibishe ila kwa jinsi wabongo tulivyokuwa wabishi tutaona kama hakuna tatizo..
kwanza unaweza ukashangaa baada ya kubadili tyre bering zikawa zinakufa mara kwa mara?
hari inaweza ikawa nzito haikimbii hapo sasa ndio na swala la ulaji wa mafuta ndio linaanza,
kila kitu kwenye gari kimepigiwa hesabu yake sema kwa ubishi wetu kuna vitu huwa tunapuuza sana.
hata gari body yake huwa inachoka sana
 
Madhara yapo!!!

Nakubaliana na wadau wengi walioelezea baadhi yake!! Lakini pia ukiongeza size ya tairi na kulifanya gari liwe juu kama ulivyosema , utasababisha Aerodyamics ku act tofauti na gari lilipotengenezwa , ni hivi upepo mwingi utapita uvunguni mwa gari badala ya juu, hivyo pressure ya upepo huo unaopita chini ita-create a lift force ambayo italifanya gari kuwa jepesi sana hasa katika speed kubwa ... na hii ndio modification inayotusababishia ajali nyingi za magari madogo hasa katika highways.

Ushauri wangu tujaribu kutatumia magari kama tulivyoyakuta badala ya kuhangaika na modification za mitaani ,
 
kunawatu jf wabishi sana aisee??
mkuu madhara yapo bisha usibishe ila kwa jinsi wabongo tulivyokuwa wabishi tutaona kama hakuna tatizo..
kwanza unaweza ukashangaa baada ya kubadili tyre bering zikawa zinakufa mara kwa mara?
hari inaweza ikawa nzito haikimbii hapo sasa ndio na swala la ulaji wa mafuta ndio linaanza,
kila kitu kwenye gari kimepigiwa hesabu yake sema kwa ubishi wetu kuna vitu huwa tunapuuza sana.
hata gari body yake huwa inachoka sana

hapa umenena mkuu! Na nimekuwa nikiamini hivyo siku zote.
 
Back
Top Bottom