Tanzania Nchi Yetu Sote
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 529
- 905
Haha hii kitu ni real Mzee alikuja kututembelea, akakaa siku kadhaa akaondoka akapita kwa sister alale then kesho yake asafiri. Sasa siku anaondoka mwanangu alilia sana hadi usiku nguvu zinamuisha analia tu haumwi hana shida yoyote, wakasema muwahini babu yake kabla hajasafiri.
Kweli tukamuwahi mzee tulipo mpata akambeba akamwambia. MDOGOWANGU UNALILIA JINA LANGU, HAYA KUANZIA LEO WEWE NI AMANDUS yani jina lake mzee. Kuanzia pale mwanangu alinyamaza kimya akaacha kusumbua hadi sasa ni mkubwa tusha sahau. Nahisi kuna uhusiano wa imani za kale hapa.
Kweli tukamuwahi mzee tulipo mpata akambeba akamwambia. MDOGOWANGU UNALILIA JINA LANGU, HAYA KUANZIA LEO WEWE NI AMANDUS yani jina lake mzee. Kuanzia pale mwanangu alinyamaza kimya akaacha kusumbua hadi sasa ni mkubwa tusha sahau. Nahisi kuna uhusiano wa imani za kale hapa.