Rijali jandoni
JF-Expert Member
- Apr 5, 2018
- 1,883
- 1,900
Nimekuwa nikitafuta ni fundi gani mzuri anaeweza kufanya hiyo kazi ya detach hasa kwa hizi smartphones matoleo kuanzia 2018 maana kwa kariakoo bado sijaona fundi mzuri kwa mafundi nilio wafikia
Maana kuweza kutoa lcd tuu wanachukua hela nyingi sana kwa mwenye hiyo mashine Tanzania na ana fanyavkazi ya kutoa LCD tunaweza ongea nikaja nina hilo tatizo LCD kuliko kutumia zile mashine za kuweka mpaka ipate jotoo ndio utoe kwa kusita na huwa wengi wanatoa kwa kukisia na sio ufanisi
Naomba kama ni fundi na unatumia hiyo mashine kuna mteja hapa kwa dar es salaam naweza pata utatuzi wa hiyo shida
Maana kuweza kutoa lcd tuu wanachukua hela nyingi sana kwa mwenye hiyo mashine Tanzania na ana fanyavkazi ya kutoa LCD tunaweza ongea nikaja nina hilo tatizo LCD kuliko kutumia zile mashine za kuweka mpaka ipate jotoo ndio utoe kwa kusita na huwa wengi wanatoa kwa kukisia na sio ufanisi
Naomba kama ni fundi na unatumia hiyo mashine kuna mteja hapa kwa dar es salaam naweza pata utatuzi wa hiyo shida