Mbona kuna uzi wake humu unaelezea kwa kirefu sana.
Tatizo ni uvivu wa kusoma na kupenda mambo ya mkato.!
Mpaka unafikia hatua ya kuchangia lazima uwe umejiridhisha vya kutosha kuwa kitu unachokifanya unakielewa.!
[h=2]Changia Tshs 30,000/= Kwa Mwaka ili kuiwezesha JamiiForums na upate kuwa JF Gold Member, Ujulishwe kinachojiri kwa SMS BURE Mwaka Mzima --> Bofya hapa kwa maelezo zaidi[/h]
Mbona kuna uzi wake humu unaelezea kwa kirefu sana.
Tatizo ni uvivu wa kusoma na kupenda mambo ya mkato.!
!Mpaka unafikia hatua ya kuchangia lazima uwe umejiridhisha vya kutosha kuwa kitu unachokifanya unakielewa.
mkuu Safari ni kweli ukiacha hiyo faida ya SMS Alert za breaking news kuna chaziada.
kwani mbwembwe ni nini hapa sasa? tembea uone, hizi namba za majina kawaida sana abroad wala sio mbwembwe mkuuMbwembwe tu kama hizi
mkuu Safari ni kweli ukiacha hiyo faida ya SMS Alert za breaking news kuna chaziada.
kwani mbwembwe ni nini hapa sasa? tembea uone, hizi namba za majina kawaida sana abroad wala sio mbwembwe mkuu
ni kweli nimekua JF kitambo , In and Out, lakini si mwenyeji sana humu kama baadhi ya member ! najitahidi kujua zaidi na zaidi kutoka kwao.usipende sana kupima akili za watu..... umekua JF mda wa kutosha.... you should know much better than that......