Je, kuna athari yoyote mtoto asipohudhuria kriniki?

REJESHO HURU

JF-Expert Member
Mar 6, 2014
4,451
9,373
Habari zenu wadau?
Poleni na majukumu ya kila siku.

Niende kwenye hoja ya msingi, tumekuwa tukiona wa mama waja wazito wakihudhuria clinick mpaka wakijifungua bado wamekuwa wakipeleka watoto wao clinick

Kuna miezi watoto hupata chanjo nk pindi mama ahudhuriapo clinick

Sasa leo nimekuja kuuliza swali je mtoto asipohudhuria clinick na kupata hizo chanzo kwa wakati kuna tatizo
Lolote linaweza tokea kwa mtoto ukubwani

Nauliza hivi kwa sababu nimeenda vijijini nimekuta watu wapo ila hawana huduma ya afya na nimekuta wazazi wana watoto wadogo nikaanza waulizia je mkitaji huduma ya clinick mnapata wapi wakasema wao suala la kupeleka watoto clinick huwaga hawajui.
 
Ndio sababu ataambiwa sio raia akikua!maana siku hizi hadi cheti cha klinik unaambatanisha na CV
 
Chanjo zina mpa mtoto secondary immune system
Watoto chini ya miaka mitano wako hatarini kwa magonjwa na vifo kwakua immune system bado ni changa. Clinic mtoto anaonwa na wataalamu wa afya ambao wanakupa ushauri, na kugundua matatizo ambayo mzazi anaweza kuyaona ni ya kawaida

Huko vijijini wana ahidiwa huduma bora za afya ili watoe kura lakini wanasiasa hawawajali wanavijiji
 
Habari zenu wadau?
Poleni na majukumu ya kila siku.

Niende kwenye hoja ya msingi, tumekuwa tukiona wa mama waja wazito wakihudhuria clinick mpaka wakijifungua bado wamekuwa wakipeleka watoto wao clinick

Kuna miezi watoto hupata chanjo nk pindi mama ahudhuriapo clinick

Sasa leo nimekuja kuuliza swali je mtoto asipohudhuria clinick na kupata hizo chanzo kwa wakati kuna tatizo
Lolote linaweza tokea kwa mtoto ukubwani

Nauliza hivi kwa sababu nimeenda vijijini nimekuta watu wapo ila hawana huduma ya afya na nimekuta wazazi wana watoto wadogo nikaanza waulizia je mkitaji huduma ya clinick mnapata wapi wakasema wao suala la kupeleka watoto clinick huwaga hawajui.
Angalia afya zao ndio utajua kuna tofauti kati ya watoto wanaoenda clinic na wasioenda
Kuhudhuria klinik kwa mtoto mchanga ni muhimu kwasababu ya ufuatiliaji wa ukuaji wa mtoto kuna viashiria vya ukuaji wa mtoto vinavyoangaliwa ili kuepusha afya ya mtoto kuwa mbaya kwa maana mtoto akiwa na afya mbaya huenda nayo hadi ukubwani pia chanjo zile anazopata zinamasaidia katika ukuaji wake na upambanaji wa hali/magonjwa mbalimbali tangu mtoto hadi anapokuwa chanjo hizo huwa ni secondary immune system ambazo humlinda mtoto katika maisha yake yote kuna sehemu hawazingatii tuu afya na clinic za watoto lakini sio kwamba hakuna huduma serikali yetu imejitahid sana kusambaza kinga hebu waulize kama hawajawahi wapeleka watoto wapate matone ya vitamin A katika shule za msingi ambazo huteuliwa kila baada ya muda fulani pia kinga kuna vituo vya zahanati vingi ambavyo watoto hupelekwa so ukisema hakuna huduma nashangaa maana nimeshazunguka sehem sehem naona kun mabadiliko hayo tena makubwa
 
Angalia afya zao ndio utajua kuna tofauti kati ya watoto wanaoenda clinic na wasioenda
Kuhudhuria klinik kwa mtoto mchanga ni muhimu kwasababu ya ufuatiliaji wa ukuaji wa mtoto kuna viashiria vya ukuaji wa mtoto vinavyoangaliwa ili kuepusha afya ya mtoto kuwa mbaya kwa maana mtoto akiwa na afya mbaya huenda nayo hadi ukubwani pia chanjo zile anazopata zinamasaidia katika ukuaji wake na upambanaji wa hali/magonjwa mbalimbali tangu mtoto hadi anapokuwa chanjo hizo huwa ni secondary immune system ambazo humlinda mtoto katika maisha yake yote kuna sehemu hawazingatii tuu afya na clinic za watoto lakini sio kwamba hakuna huduma serikali yetu imejitahid sana kusambaza kinga hebu waulize kama hawajawahi wapeleka watoto wapate matone ya vitamin A katika shule za msingi ambazo huteuliwa kila baada ya muda fulani pia kinga kuna vituo vya zahanati vingi ambavyo watoto hupelekwa so ukisema hakuna huduma nashangaa maana nimeshazunguka sehem sehem naona kun mabadiliko hayo tena makubwa
Je uyu mtoto ambaye mwaka mmoja umeshapita hajaudhulia cliniki mda wote huo je kwa umri huo anaweza kwenda akapatiwa chanjo ambazo hakuzipata uko nyumba, mfano kuna ile chanjo ya miezi tisa nk.
 
Back
Top Bottom