Je! Kuna athari gani ya kutumia simu (Feki) clone/copy?

wickerman

JF-Expert Member
Dec 12, 2011
408
248
Wakuu habari,

Siku hizi kuna simu nyingi sana ambazo ni clone ya simu original, nyingi ikiwa ni za samsung... Juzi kati niliona moja ambayo ni ya samsung galaxy note 3, nilishangazwa kuona jinsi gani perfomance yake haikuwa mbaya sana na pia jinsi ilivyokuwa kwa sababu kwa macho ya juu juu inaonekana kama ni ya kweli.

Given kwamba ina android na all the functionalities are the same kama simu yoyote ya android, i mean naweza run any android app hata kama ni clone, so nikawa najiuliza kuwa kuna hasara gani kubwa haswa mtu akitumia simu ambayo ni clone kama kila kitu cha android kinafanya kazi.

Kama akiamua kupotezea swala la official updates au ni ile tu mtu kichwan kwake inamuuma kwamba anatumia kitu ambacho sio chenyewe 100% wakati bado anaweza kufanya kila kitu?

Thanx

Kaka kuna kitu kimoja muhimu sana watu wanakisahau wanapochagua simu nacho ni SAR

SAR ni kiasi cha miaonzi ambacho mwili wa binadamu una-absorb. kila unapoongea na simu ujue kichwa chako kinakuwa kinazungukwa na hii mionzi. kuna kiasi cha mionzi kinakuwa ni salama kwa binadamu na kuna kiasi kikizidi kinaweza kuleta madhara.

Wenzetu wa marekani wana FCC kwa ajili ya kupima simu, Ulaya wana EU na baadhi ya nchi kama india wanatumia FCC pia.

Hawa FCC na EU wanazipima hizi simu kama zina mionzi mibaya na ni salama kutumika kwa binadamu then zikifaulu ndio zinaruhusiwa kupita madukani. Ila sisi Tanzania hakuna chombo cha ukaguzi na tunanunua simu ambazo hazijawahi kupimwa kabisa na tunakuwa kwenye risk na hii michina. 7

Ukichunguza watu wengi wanaokuja kudump simu africa huwa simu hizo haziuzwi ulaya na marekani wanaogopa kuzipeleka sababu simu zinakuwa hazina viwango. hili ni jambo kubwa la kuliangalia kwenye afya yako.

Matatizo mengine ya clone zinakuwa pia sio reliable, unaweza kuiformat simu ikabadilika kabisaa, touchwiz ikatoka, boot animation ikabadilika, au hata isiwake tena. pia wana tabia ya kudanganya specs run cpu z ili kuona specs halisi za simu.
 
Android is an open source OS, big players kama Samsung, HTC etc have to play by google play compliance rules inorder to ship with google play services and sababu they are used a lot people inspect their code etc.

Hizi clones are not inspected by anyone and google may not even know of their existence and since Android is open source they can do whatever to the code and ship it kwako,

they can put malware, record what you type, track what you do etc. Kuna cases za galaxy s4 clones found to be shipping na malware. So security is the main concern then mambo ya updates yanafuata, and since these phones come from China who are notoriously known for spying and hacking it becomes a bigger concern.
 
Kuna kitu kimoja muhimu sana watu wanakisahau wanapochagua simu nacho ni SAR

SAR ni kiasi cha miaonzi ambacho mwili wa binadamu una-absorb. kila unapoongea na simu ujue kichwa chako kinakuwa kinazungukwa na hii mionzi. kuna kiasi cha mionzi kinakuwa ni salama kwa binadamu na kuna kiasi kikizidi kinaweza kuleta madhara.

Wenzetu wa marekani wana FCC kwa ajili ya kupima simu, Ulaya wana EU na baadhi ya nchi kama india wanatumia FCC pia.

Hawa FCC na EU wanazipima hizi simu kama zina mionzi mibaya na ni salama kutumika kwa binadamu then zikifaulu ndio zinaruhusiwa kupita madukani. Ila sisi Tanzania hakuna chombo cha ukaguzi na tunanunua simu ambazo hazijawahi kupimwa kabisa na tunakuwa kwenye risk na hii michina. 7

Ukichunguza watu wengi wanaokuja kudump simu africa huwa simu hizo haziuzwi ulaya na marekani wanaogopa kuzipeleka sababu simu zinakuwa hazina viwango. hili ni jambo kubwa la kuliangalia kwenye afya yako.

Matatizo mengine ya clone zinakuwa pia sio reliable, unaweza kuiformat simu ikabadilika kabisaa, touchwiz ikatoka, boot animation ikabadilika, au hata isiwake tena. pia wana tabia ya kudanganya specs run cpu z ili kuona specs halisi za simu.
 
Mkuu sio clone tu hata simu zisizo na viwango wala kutambulika na wadau wa simu mfano Tecno

Nilipata kuambiwa Tecno hairuhusiwi china wala huwezi kuta mtu anatumia tecno china maana haijakidhi vigezo vya kiusalama
Na sio china tu nchi yoyote wanayojali usalama tecno hazipo

Kitu muhimu ni kujaribu kutafuta original na pia tembelea reputable site kujua simu zenye vigezo na sio kununua simu za kwenye blog na site uchwara
 
SAR kama alivyosema kaka juu hapo, kukosa warranty ikiharibika, durability, security reasons,.... ndio maana Kenya hawataki hizi shits
 
Umaskini mbaya sana.
Hasa unapoingia mpaka akilini.

Wanatutumia tu wanavyotaka.

Sent from my radio
 
Kaka kuna kitu kimoja muhimu sana watu wanakisahau wanapochagua simu nacho ni SAR

SAR ni kiasi cha miaonzi ambacho mwili wa binadamu una-absorb. kila unapoongea na simu ujue kichwa chako kinakuwa kinazungukwa na hii mionzi. kuna kiasi cha mionzi kinakuwa ni salama kwa binadamu na kuna kiasi kikizidi kinaweza kuleta madhara.

Wenzetu wa marekani wana FCC kwa ajili ya kupima simu, Ulaya wana EU na baadhi ya nchi kama india wanatumia FCC pia.

Hawa FCC na EU wanazipima hizi simu kama zina mionzi mibaya na ni salama kutumika kwa binadamu then zikifaulu ndio zinaruhusiwa kupita madukani. Ila sisi Tanzania hakuna chombo cha ukaguzi na tunanunua simu ambazo hazijawahi kupimwa kabisa na tunakuwa kwenye risk na hii michina. 7

Ukichunguza watu wengi wanaokuja kudump simu africa huwa simu hizo haziuzwi ulaya na marekani wanaogopa kuzipeleka sababu simu zinakuwa hazina viwango. hili ni jambo kubwa la kuliangalia kwenye afya yako.

Matatizo mengine ya clone zinakuwa pia sio reliable, unaweza kuiformat simu ikabadilika kabisaa, touchwiz ikatoka, boot animation ikabadilika, au hata isiwake tena. pia wana tabia ya kudanganya specs run cpu z ili kuona specs halisi za simu.

Mkuu ishatokea hapa bongo juz kat nanukuu....

TWO shop owners at Kariakoo area of Dar es Salaam were arrested in possession of over 4 ,000 Samsung counterfeit mobile smart phones valued at over 200m /-. "It ' s one of the largest single haul of counterfeit smart phones to be arrested by Fair Competition Commission ( FCC ) this year so far, " said John Mponela, Head of Anti -counterfeit Unit at FCC .

Mr Mponela told a news conference that the handsets were found on display at Erasto Masaba and Hamis Jabbir shops at Kariakoo . "We had received a formal complaint from the brand owner hence we took action last Thursday, ' Mr Mponela said . He pointed out that Mr Masaba alone was found in possession of 4, 028 phones while Mr Jabbir had 50 handsets.

The FCC inspected the Kariakoo area after Samsung' s complaint alongside police officers and Nairobi based Anti-illicit Trade Agency Company which represented the South Korean manufacturer . Mr Mponela said Jabbir paid 500, 000 /- as penalty while also losing his 50 phones which will be destroyed this week while Masaba is said to be in shock after the arrest .

"Hopefully, he will come and pay the penalty which amounts to a maximum of 8m/- or risk being charged in court, " the FCC anti -counterfeit head warned . If convicted by a court under Merchandise Marks Act , the duo may face jail terms of between 4- 15 years and fine of between 10m /- and 50m /-.

FCC Director General, Dr Frederick Tenga said in a statement that the public should avoid buying copycats as they risk their security but also lose money. "FCC reiterates its call on consumers of mobile phones and other products to ensure that they buy their products from authentic points of sale and shun counterfeits, " Dr Tenga said .

The FCC chief also warned importers of counterfeit products against violating the law , saying such actions deny brand owners revenue while exposing customers to inferior products. "The basic principle for the raid campaign , is not just for brand owners protection but also to protect consumers and promote a health economy," noted Dr Tenga while cautioning perpetrators that FCC will continue impromptu search and seizure operations , but also called on brand owners to tip the Commission on whereabouts of culprits .

Last September , FCC conducted a search and seize operation at the same place ( Kariakoo area ) whereby six shops were found in possession of 289 counterfeited Samsung and Blackberry smart phones valued at 72. 3m/- .
 
bwana mkalenda sikujua na sisi kama tunatumia fcc lakini nna uhakika hawafatilii pengine huyo jamaa kachomwa tu au watu washadhulumiana maslahi.

ukipita aggrey simu feki zinauzwa kama halali tena hadharani tu na zinalipiwa kodi na unapewa na risiti. hata kama hiki chombo kipo basi hakipo active
 
Last edited by a moderator:
bwana mkalenda sikujua na sisi kama tunatumia fcc lakini nna uhakika hawafatilii pengine huyo jamaa kachomwa tu au watu washadhulumiana maslahi.

ukipita aggrey simu feki zinauzwa kama halali tena hadharani tu na zinalipiwa kodi na unapewa na risiti. hata kama hiki chombo kipo basi hakipo active

Kwel mkuu Tanzania ufuatiliaje hakuna kabisa..
 
Last edited by a moderator:
Hawa FCC mbona hata hatujawai kuwasikia katika Mass Media walau wakitoa somo la madhara yanayoweza kutokana na utumiaji wa simu hii

Hiki chombo kama kipo basi kimelala na sijui kiko chini ya TCRA?
 
Mkuu sio clone tu hata simu zisizo na viwango wala kutambulika na wadau wa simu mfano Tecno

Nilipata kuambiwa Tecno hairuhusiwi china wala huwezi kuta mtu anatumia tecno china maana haijakidhi vigezo vya kiusalama
Na sio china tu nchi yoyote wanayojali usalama tecno hazipo

Kitu muhimu ni kujaribu kutafuta original na pia tembelea reputable site kujua simu zenye vigezo na sio kununua simu za kwenye blog na site uchwara

kuna website inaitwa GSM ARENA, hawa jamaa wana rank simu baada y kupass ubora flan at least, in other word wana rank simu zilizothibitishwa zinafaaa kwa matumiz ya binadam u wud b suprised TECNO of all phones haipo, meaning tecno inaulakin flan ktk ubora or something ila hapa bongo nadhan majority ya phone user wanatumia tecno just get a picture.

pia issue kwamba inafanya kila kitu ilimrad unajua si original is not a right step in a right direction, ni sawa na kuendesha gari imepitiliza mda wa service simply bcoz inawaka na ukiweka gia inaenda!!!
 
kuna website inaitwa GSM ARENA, hawa jamaa wana rank simu baada y kupass ubora flan at least, in other word wana rank simu zilizothibitishwa zinafaaa kwa matumiz ya binadam u wud b suprised TECNO of all phones haipo, meaning tecno inaulakin flan ktk ubora or something ila hapa bongo nadhan majority ya phone user wanatumia tecno just get a picture.

pia issue kwamba inafanya kila kitu ilimrad unajua si original is not a right step in a right direction, ni sawa na kuendesha gari imepitiliza mda wa service simply bcoz inawaka na ukiweka gia inaenda!!!

Mkuu nimejalibu kufuatilia hasa copy za HTC one m8 zilizopo hapa tanzania cjafanikiwa kuona first copy,, kuna huyu jamaa ana review first copy ( https://www.youtube.com/watch?v=mqZevfYLpP8 ) ana jiita mayiandjay youtube.

Watanzania wengi wanatuuzia copy ambazo sio first copy. leo nilikua natafuta iphone 6 plus first copy sijafanikiwa kuiona kariakoo, mwenye kujua ni duka gani naweza pata naomba anisaidie.
 
Mkuu nimejalibu kufuatilia hasa copy za HTC one m8 zilizopo hapa tanzania cjafanikiwa kuona first copy,, kuna huyu jamaa ana review first copy ( https://www.youtube.com/watch?v=mqZevfYLpP8 ) ana jiita mayiandjay youtube.

Watanzania wengi wanatuuzia copy ambazo sio first copy. leo nilikua natafuta iphone 6 plus first copy sijafanikiwa kuiona kariakoo, mwenye kujua ni duka gani naweza pata naomba anisaidie.

Huwezi pata copy ya iphone sababu inatumia ios ambayo sio open source kama android. unazoziona ni clone za java ambazo zina umbo kama la iphone.
 
huwezi pata copy ya iphone sababu inatumia ios ambayo sio open source kama android. unazoziona ni clone za java ambazo zina umbo kama la iphone.

Mkuu nilicho kiona inatumia android vision bt wana weka ios sceen inakua inafanana na ios bt ukiingia kwenye store inakuonesha playstore ambayo ni ya android so mtu kujua kama sio original ukiingia store ndo utaona, chief mkwawa samahan hebu chek iyo link youtube afu unipe repot mkuu
 
Mkuu nilicho kiona inatumia android vision bt wana weka ios sceen inakua inafanana na ios bt ukiingia kwenye store inakuonesha playstore ambayo ni ya android so mtu kujua kama sio original ukiingia store ndo utaona, chief mkwawa samahan hebu chek iyo link youtube afu unipe repot mkuu

sasa kama inatumia android huoni sio clone ya iphone? why usinunue simu ya android?
 
Back
Top Bottom