fierceman
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 553
- 757
habari wana jf niende moja kwa moja kuwa zipi ni athari za kuoa mwanamke aliyemzidi mumewe umri? ila moja ya athari nimesikia ni kwamba mwanaume atayeoa mwanamke mwenye umri mkubwa kuliko yeye kuna uwezekano mkubwa wa kufa haraka ila bado sijapata maelezo ya kutosha kuhusu hili...na zipi athari zingine kama zipo?