Je, kufanya mapenzi na kukojoa nje kwa Wanaume hupunguza nguvu za Kiume?

mmmh wewe jasiri sana kijana wengine wakiingia tu ni kumwaga
utadhani ametumwa kuja kumwaga huko hata dakika moja hamalizi ...sijui watu wengine wapoje ningekupata ungenifaa sana
Haaa Haaa mbona nafanyaga Sana kuepuka mimba isiyotarajika.
 
Kuna ute ute huwa unatoka katika uume bila mwanaume kujua, ute huo unabeba mbegu za kiume na unaweza kusababisha mimba kwa mwanamke.

Kwahiyo endapo utafanya nae akiwa katika siku zake za hatari kuweza kupata mimba unaweza kumsababisha ujauzito licha ya kwamba unamwaga nje kwakuwa wewe utatambua pale tu unapopata hisia kuwa waarabu wanashuka kumbe kuna wasafisha njia walishatangulia pasi na kukujuza.

Ila kumbuka pia wapo wanawake wanapokaribia kufika orgasm huwa wanatabia ya kukung'ang'ania,sasa waweza kujikuta mnafika sawa kileleni naye akakushika ipasavyo na ni Siku njema kwake ukakuta kitu imo ndani. Be prepared,
 
Zaidi ya alichosema Alexmahone ukikojoa nje duct ya penis hubaki na mbegu hivyo unaporudia tendo mbegu mabaki huingia moja kwa moja nakutunga mimba. Kukojoa nje haisaidii kabisa . In fact umekuwa ukifanya on safe days.
 
Kwa kutotumia kondom mkuu
Inawezatokea bahati mbaya ukapata maambukizi ya magogwa ya zinaa.
 
Wakuu huwa najitahidi sana kuepuka mimba zisizotarajiwa, so huwa natumia njia ya asili na ya kawaida kabisa kukojoa nje ya papuchi.

Sasa je hii njia haiwezi kuniletea matatizo ya uzazi au matatizo mengine kama kipungukiwa na nguvu? maana ni muda mrefu sana naitumia.
Mimi pia huwa natumiaa hii njia kwenye siku za hatar inakubidi ndiyo uwe makini sana sasa inakubidi ukianza kuhisi bao uliboost kwa nje....inakuwa ni kama punyeto lazima madhara yatakuwepo hapa japo nimeulizia wataalam wamesema hamna....njia ina ugumu lakini ina utamu wake piah mkuu, unaweza ukaunga goli hata tatu.
 
mmmh wewe jasiri sana kijana wengine wakiingia tu ni kumwaga
utadhani ametumwa kuja kumwaga huko hata dakika moja hamalizi ...sijui watu wengine wapoje ningekupata ungenifaa sana
Sasa umejua anatumia dakika ngapi au ndo tangazo!
 
Back
Top Bottom