Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,797
Siasa duniani kote haitoi nafasi ya kufanya unacho amini, ila hutoa nafasi ya wewe kufanya kile kinachotakiwa kufanywa muda huo.Tusikate tamaa tuendelee kusimamia kile tunachokiamini hata kama wengi wanaweza dhani tumechanganyikiwa.
Kwa wenye madaraka ndio huwa wanarusha kitu gani ukifanye kwa muda huo. Na utakacho ruhusiwa kukifanya ni kile kitacho wapa faida au hakito wadhuru.