Je, Kikwete ni mdini?

Mimi sibishani na muimba nyimbo za mipasho!
 
]Ukiwapa ukweli wanakimbilia propaganda za kusema kuwa Waislam hawajasoma.[/B].. Wakati mwingine utasikia ooh nendeni shule kwanza! Propanda zimewachukuwa kiasi wanajiona kuwa wao ndio wasomi peke yao...!

Hapa ulikuwa unaelekea kabisa kutoa pumba!
 
Tutolee udini wako usio na mbele wala nyuma badala ya kufikiria maendeleo unakazana kupost mambo ya udini utakufa nao ukitaka ondoka Tanzania hamia saudia.


Wewe unataka nilete maneno ya kutukana serikali ndio usifie? acheni hizo nchi haiendeshwi kwa chuki.
 
Inferiority complex, tell your fellow muslim to go back to school stop madrasa otherwise accept any kind of job you will be awarded.
 
Inferiority complex, tell your fellow muslim to go back to school stop madrasa otherwise accept any kind of job you will be awarded.

Sijalalamika kwanini waislam wamepewa wizara chache nimeonyesha kuwa JK sio mdini ila tatizo kabana misamaha iliyokuwa inatumika kinyume na malengo kwenye makanisa na ile ruzuku serikali iliyokuwa inaipa kanisa ambayo imekoma ndio sababu ya yeye kuitwa mdini na kujengewa chuki hapa JF.

Pia nimeelezea jinsi chuki zilivyopandikizwa especial makanisani maana huyu jamaa 2005 walimtaja kama chaguo la "Mungu" lakini 2010 wakakaa kimya kwa kuwa biashara zao zimeshtukiwa.

Pia nikaenda mbali nikasema zamani CCM na Mkristo ni kama Chanda na pete ila Kanisa kupitia kile chama chetu kwa kunyimwa ruzuku na serikali kubana misamaha ya kodi isiyo na tija ikakisaidia kile chama chetu ambacho kilisimamasha watumishi wa kiroho wengi kuliko chama chochote.

Nadhani umeelewa wewe ndio unahitaji kurudi shule inaonyesha ulidumaa when u were under 5 na akili yako ikaduma.
 
Ukiona thread inapelekwa haraka haraka kwenye jukwaa la dini ujuwe wenyewe hawajipenda, na pili kidogo wamekuheshimu otherwise wangeifutilia mbali... pole sana mkuu!

Mkuu nilipobold panahitaji ufafanuzi toka kwako na baadae nitaulekeza kwa Mods. Ina maana JF siyo huru?, ina maana sasa JF ni state organ?, ina maana sasa JF tuwe tunasifia tu?, ina maana JF si mahala salama kwa wenye kupenda kutojulikana?, ina maana gani hasa na hao wenyewe ni nani?. Mimi kila siku nimekuwa nikiamini JF is here for pro bono. Ndiyo maana mijadala mikubwa ya kitaifa imeibukia kutoka JF na matunda yake tumeyaona. MODS NAOMBENI UFAFANUZI KWENYE HILI.
 

Namba ya waislamu na wakristo si kigezo kuwa JK hana udini, inawezekana kakosa waislamu wenye elimu na ujuzi wa wizara husika au ulitaka amweke Profesa Maji marefu kwenye wizara ya Afya ndipo uridhike. inawezekana kawaweka waislamu kina Sophia Simba akaona akiongeza wengine ataboa.
 
Ndio ivyo ivyo hakuna mabadiliko ya sentensi hapo!
 

Naomba rejea mada kisha toa hoja ya udini wa kikwete sio unakuja na pumba zako hapa. Kuna waislam wenye heshima na kuheshimika wenye elimu kubwa kuliko huyo slaa hapa Tanzania. Ila Kikwete yeye kwa kuwa sio mdini hakuteua watu kwa dini zao bali kwa rekodi zao na kutokana na mapendekezo. Na zaidi pengine kisiasa zaidi na kwa kuwa sheria inamruhusu "kwa sasa" basi ni haki yake ila kumwita mdini mnamuonea.

Nategemea ujibu hoja kwa hoja usichomekee utumbo wa kuku sie huwa tunautupa
 
Kama mlijenga shule mkanyang'anywa ni nani mjinga kati ya mimi na wewe, kalagabaho hamieni Yemen nyambaffffff makubwa nyie.

Hiyo sio hoja jenga hoja kijana mimi nimekuolea dada yako nimemsilimisha na nimesha zaa nae sioni sababu ya wewe kunichukia wakati watoto wangu wanakuita mjomba na ni sawa na mama yao tu maana mjomba ni mama! Kwahiyo we mama wa watoto wangu kiimani jibu kwa hoja acha porojo.
 
Wewe unataka nilete maneno ya kutukana serikali ndio usifie? acheni hizo nchi haiendeshwi kwa chuki.
hapa ndipo watu wenye akili wanapotaka tuwe na si kinyume na hapo. Bali wale wanaotaka kwa hali zote madaraka, haiwajalishi tukichukiana na kutoana roho!:teeth:
 
Hawana hoja wala sera hao... Wanaimbishwa nyimbo wasizozijua. Wasikupotezee muda kujibizana nao, nilikupa taarifa mapema sana-sana watatukana maana ndipo upeo wao unapoishia. Kweli nawakubali usomi wao hao wasomi wao NI WA KUKARIRISHWA BILA KUHOJI, wala kutafakari si wote lakini. wamo miongoni mwao wenye kuuona ukweli na kutazama mbali lakini wachache sana hao. Suala muhimu ni kupata ufumbuzi na kutolidharau hili.

Mkuu wa kaya hakuwa mjinga wala hakupewa taarifa potofu. Tunapaswa kubadilika, lakini unyenyekevu wetu ukizidi ule wa kula sacramenti TUMEKWISHA... unyenyekevu wetu ukizidi ule wa kuitikia AMEN tukajikuta tunaitikia hivyo hata kwenye ya KAIZARI baaasi TANZANIA KUSHNEHI Margiyo:embarrassed:
 
Tuupitie kidogo mkataba ili wenzetu wajenge hoja kuliko kutoa pumba
 

Nimekubaliana na wewe mzee na nikakupa thanks mie mbona najua siku nyingi sana kuwa hapa JF unatakakiwa uje na Thread ya kuiponda serikali na chama chake au thread za mapenzi na za kukisififia chama chetu utapigwa senkyu kama mvua halafu itachangiwa kwa nguvu zote tena sometimes nasikia hupigiana simu "aisee meku ingia JF kuna sred nsuri sana baangu tushambulie" inji haiendeshwi kivyo MAngi zangu
 

Waambie kabisa hao wanakaririshwa kiarabu bila kuambiwa ni aya za kishetani!
 
Hapo ndipo elimu yako ndipo ilipofikia mnawaza kuoa na kuzaa tu, tukiwaambia muache madrasa mnatuona wabaya nendeni shule labda miaka 50 ijayo mnaweza kutufikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…