FOX21
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 496
- 930
Heri ya uzima ndugu zangu!
Leo ningependa kujifunza mengii kama sio machache kutoka kwenu ndugu zangu.
Nimekuwa nikisikia baadhi ya story pembeni ila sio kwa kina zaidi, ya kwamba vichuguu hivi vinavyokuwa makazi ya mchwa, hutumika kwa njia za kishirikina kwa namna tofauti tofauti. Pia huweza kutumika kumfunga mtu kishirikina🙁🙁
"Je, kuna ukweli katika hili au inawezekana sio mimi tu nilie bahatika kuyasikia hayaa🤔🤔?
Leo ningependa kujifunza mengii kama sio machache kutoka kwenu ndugu zangu.
Nimekuwa nikisikia baadhi ya story pembeni ila sio kwa kina zaidi, ya kwamba vichuguu hivi vinavyokuwa makazi ya mchwa, hutumika kwa njia za kishirikina kwa namna tofauti tofauti. Pia huweza kutumika kumfunga mtu kishirikina🙁🙁
"Je, kuna ukweli katika hili au inawezekana sio mimi tu nilie bahatika kuyasikia hayaa🤔🤔?
