Je, Kibatala ni kumtetea Mbowe tu, Wanachadema wengine wapambane kivyao?

voicer

JF-Expert Member
Jul 13, 2020
5,553
11,885
Jambo all Member's JamiiForums!

Tumeshuhudia rundo la wanasheria wakiungana kumtetea mwenyekiti wa Chadema Mheshimiwa Mbowe na makomandoo wake.
Kwenye kesi aliyofutiwa na DPP hivi karibuni.

Lakini,
Tunaambiwa na uongozi wa Chadema kupitia media mbalimbali kwamba kuna rundo kubwa sana la wanachama wao ambao wanashikiliwa Magerezani kwa tuhuma mbalimbali.

Sasa tunajiuliza swali kubwa moja tu.

Hao mawakili wenu mnaowaita wa Chadema.
Kina Kibatalla na wenzake kwa nini hawajihusishi na kuhakikisha wanawatetea hao wanachama wao wa Chadema.

Ambao wanaendelea kuteseka Magerezani,huku wakiwa wamebaki kuhangaika wao na familia zao tu?

Je mnatufundisha nini wananchi.
Pale mnapowahamasisha wananchi kujitokeza kuwaunga mkono kwenye harakati zenu ikiwemo na maandamano.

Kisha yakiwakuta ya kuwakuta ikiwemo kuumizwa na kubaki vilema,au kukamatwa na kuswekwa Magerezani.

Mnaishia kuwatelekeza wao wapambane na hali zao bila msaada wowote wa kisheria.
Kutoka kwa uongozi wa Chadema,kama tulivyoona mkifanya kwa Mbowe na walinzi wake?

Wakati nyinyi viongozi mkiendelea na "Coctail party " zenu huko
"Maria Spaces" na
"Club House" usiku.

Kutokea huko ughaibuni Ubelgiji na Canada ambapo wahamasishaji wakubwa Lissu na Lema mnaishi kwa raha zenu.
Na wale mlioko humu nchini mkiendelea kuyatumia hao wahanga kutimiza Projects zenu mnazozita eti "Maridhiano" au "Healing"

Huku mkiendelea kushawishi watoto wa walalahoi wengine wazidi kujitokeza kuwaunga mkono ili kutimiza malengo yenu.

Huku wengine mmewasahau kabisa mfano halisi ni yule mwenyekiti wa chadema mkoa wa Njombe.

Mnawaonaje au kuwachukuliaje hao watanzania?
 
Hao SI umewabambikia wewe,hivyo kazi Yako ni hiyo na kazi yao ni kuwatoa sio
Jibu swali wacha porojo.

Kwa hiyo Mbowe alitetewa kwa sababu kweli alitenda.....

Na kwa kauli yako hawa walibambikiwa hivyo mnasubiri watolewe?

Kama walibambikiwa...si ndio rahisi zaidi kwa Mwanasheria Nguli kama Kibatalla kuweza kuiumbua Polisi mahakamani na kuwatoa?

Tatizo lenu chadema huwa mnajifanya kujitoa ufahamu kwenye maswali mazito.
 
Kazi inaendelea kila kona ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili haki itendeke: soma hapa :
 
Jambo all Member's JamiiForums!

Tumeshuhudia rundo la wanasheria wakiungana kumtetea mwenyekiti wa Chadema Mheshimiwa Mbowe na makomandoo wake.
Kwenye kesi aliyofutiwa na DPP hivi karibuni.

Lakini,
tunaambiwa na uongozi wa Chadema kupitia media mbalimbali kwamba kuna rundo kubwa sana la wanachama wao ambao wanashikiliwa Magerezani kwa tuhuma mbalimbali.

Sasa tunajiuliza swali kubwa moja tu.

Hao mawakili wenu mnaowaita wa Chadema.
Kina Kibatalla na wenzake kwa nini hawajihusishi na kuhakikisha wanawatetea hao wanachama wao wa Chadema.

Ambao wanaendelea kuteseka Magerezani,huku wakiwa wamebaki kuhangaika wao na familia zao tu?

Je mnatufundisha nini wananchi.
Pale mnapowahamasisha wananchi kujitokeza kuwaunga mkono kwenye harakati zenu ikiwemo na maandamano.

Kisha yakiwakuta ya kuwakuta ikiwemo kuumizwa na kubaki vilema,au kukamatwa na kuswekwa Magerezani.

Mnaishia kuwatelekeza wao wapambane na hali zao bila msaada wowote wa kisheria.
Kutoka kwa uongozi wa Chadema,kama tulivyoona mkifanya kwa Mbowe na walinzi wake?

Wakati nyinyi viongozi mkiendelea na "Coctail party " zenu huko
"Maria Spaces" na
"Club House" usiku.

Kutokea huko ughaibuni Ubelgiji na Canada ambapo wahamasishaji wakubwa Lissu na Lema mnaishi kwa raha zenu.
Na wale mlioko humu nchini mkiendelea kuyatumia hao wahanga kutimiza Projects zenu mnazozita eti "Maridhiano" au "Healing"

Huku mkiendelea kushawishi watoto wa walalahoi wengine wazidi kujitokeza kuwaunga mkono ili kutimiza malengo yenu.

Huku wengine mmewasahau kabisa mfano halisi ni yule mwenyekiti wa chadema mkoa wa Njombe.

Mnawaonaje au kuwachukuliaje hao watanzania?
NDIO sasa unatakaje?
 
Tunduma, Songwe
Tanzania

Kazi na mapambano kuhakikisha haki inapatikana kwa makamanda wote waliosingiziwa kesi inaendelea nchini kote

 
Kibondo, Kigoma
Tanzania

 
Nyie wakina nani "mnajiuliza"?
Oh
Jibu swali wacha porojo.

Kwa hiyo Mbowe alitetewa kwa sababu kweli alitenda.....

Na kwa kauli yako hawa walibambikiwa hivyo mnasubiri watolewe?

Kama walibambikiwa...si ndio rahisi zaidi kwa Mwanasheria Nguli kama Kibatalla kuweza kuiumbua Polisi mahakamani na kuwatoa?

Tatizo lenu chadema huwa mnajifanya kujitoa ufahamu kwenye maswali mazito.
Weye kwakuwa ni voicer wa wanakijani Hilo ni jambo dogo TU,kwako ,hebu Fanya kama unajikuna wabambikiwa wote wa chadema wachiwe mara Moja bila shuruti,Wala sharti lolote wakaendelee na ujenzi wa taifa.
 
Kakonko , Kigoma
Tanzania

Mapambano ya kisheria na mshikamano kuhakikisha kesi zote za mchongo zinafutwa :

 
Wanachama zaidi ya 400 wa CHADEMA kesi zao zilifunguliwa, chama bado kinaendelea kuhakikisha wanaachiwa huru !


 
4 March 2022

Sumbawanga, Rukwa
Tanzania


Mwenyekiti CHADEMA mkoa wa Rukwa - " CCM wanateseka wenyewe kwa vitendo vyao vya michongo "

 
24 March 2022
Arusha, Tanzania

CHADEMA MKOA WA ARUSHA WASHINDA KESI WALIOBAMBIKIWA YA KUCHOMA OFISI YAO YA KANDA

 
ChadeSaccos.

nyie changeni hela tu ruzuku yenyewe ndogo sasa baba mkwe anaisubiri/m kiti malyenge ndo hela yake mnapigwa tu kwa jina la mungu.

Tukimaliza porojo tunaenda kula k-vant na mnatusindikiza na mabendera yenu

😁🤣🤣🤣
Nguvu ya umma
 
Back
Top Bottom