Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,689
- 106,812
Salute Intellectuals..
Wakuu naomba kuuliza kati ya Genghis Khan na Nuhu wa safina nani baba wa vizazi ulimwenguni?
Biblia inasema..
1 Hivi ndivyo vizazi vya wana wa Nuhu, Shemu, na Hamu, na Yafethi. Na kwao walizaliwa wana wa kiume baada ya gharika.
Mwanzo 10 :1
2 Wana wa Yafethi ni Gomeri, na Magogu, na Madai, na Yavani, na Tubali, na Mesheki, na Tirasi.
Mwanzo 10 :2
3 Na wana wa Gomeri ni Ashkenazi, na Rifathi, na Togama.
Mwanzo 10 :3
4 Na wana wa Yavani ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
Mwanzo 10 :4
5 Kwa hao nchi za pwani za mataifa ziligawanyikana kuwa nchi zao, kila moja kwa lugha yake, kwa jamaa zao, kufuata mataifa yao.
Mwanzo 10 :5
6 Na wana wa Hamu ni Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani.
Mwanzo 10 :6
7 Na wana wa Kushi ni Seba, na Havila, na Sabta, na Raama, na Sabteka. Na wana wa Raama ni Sheba, na Dedani.
Mwanzo 10 :7
8 Kushi akamzaa Nimrodi, akaanza kuwa mtu hodari katika nchi.
Mwanzo 10 :8
9 Alikuwa hodari kuwinda wanyama mbele za Bwana. Kwa hiyo watu hunena, Kama Nimrodi, hodari wa kuwinda wanyama mbele za Bwana.
Mwanzo 10 :9
10 Mwanzo wa ufalme wake ulikuwa Babeli na Ereku, na Akadi, na Kalne, katika nchi ya Shinari.
Mwanzo 10 :10
11 Akatoka katika nchi ile akaenda mpaka Ashuru, akajenga Ninawi, na Rehoboth-iri, na Kala;
Mwanzo 10 :11
12 na Reseni, kati ya Ninawi na Kala, nao ni mji mkubwa.
Mwanzo 10 :12
13 Misri akazaa Waludi, na Waanami, na Walehabi, na Wanaftuhi,
Mwanzo 10 :13
14 na Wapathrusi, na Wakasluhi; huko ndiko walikotoka Wafilisti na Wakaftori.
Mwanzo 10 :14
15 Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi,
Mwanzo 10 :15
16 na Myebusi, na Mwamori, na Mgirgashi,
Mwanzo 10 :16
17 na Mhivi, na Mwarki, na Msini,
Mwanzo 10 :17
18 na Mwarvadi, na Msemari, na Mhamathi. Baadaye jamaa za Wakanaani walitawanyikana.
Mwanzo 10 :18
19 Na mpaka wa Wakanaani ulianza kutoka Sidoni kwa njia ya Gerari hata Gaza; tena kwa njia ya Sodoma, na Gomora, na Adma, na Seboimu, hata Lasha.
Mwanzo 10 :19
20 Hao ndio wana wa Hamu, kufuata jamaa zao, kwa lugha zao, katika nchi zao, kufuata mataifa yao.
Mwanzo 10 :20
21 Naye Shemu ambaye ni baba wa wana wote wa Eberi, na ndugu mkubwa wa Yafethi, akazaliwa wana.
Mwanzo 10 :21
22 Wana wa Shemu ni Elamu, na Ashuru, na Arfaksadi, na Ludi, na Aramu.
Mwanzo 10 :22
23 Na wana wa Aramu ni Usi, na Huli, na Getheri, na Mashi.
Mwanzo 10 :23
24 Arfaksadi akamzaa Sela, Sela akamzaa Eberi.
Mwanzo 10 :24
25 Eberi akazaliwa wana wawili wa kiume; jina la wa kwanza ni Pelegi maana katika siku zake nchi iligawanyika; na jina la nduguye ni Yoktani.
Mwanzo 10 :25
26 Yoktani akamzaa Almodadi, na Shelefu, na Hasarmawethi, na Yera,
Mwanzo 10 :26
27 na Hadoramu, na Uzali, na Dikla,
Mwanzo 10 :27
28 na Obali, na Abimaeli, na Seba,
Mwanzo 10 :28
29 na Ofiri, na Havila, na Yobabi. Hao wote ndio wana wa Yoktani.
Mwanzo 10 :29
30 Makao yao yalikuwa kutoka Mesha kwa njia ya Sefari, mlima wa mashariki.
Mwanzo 10 :30
31 Hao ndio wana wa Shemu, kufuata jamaa zao, na lugha zao, katika nchi zao, kufuata mataifa yao.
Mwanzo 10 :31
32 Hizo ndizo jamaa za wana wa Nuhu, kufuata vizazi vyao, katika mataifa yao; na kwa hao mataifa yaligawanyika katika nchi baada ya gharika.
Mwanzo 10 :32
Genghis Khan ni nani..?
Genghis Khan or Chinggis Khaan[note 3](born Temüjin,[note 4] c. 1162 – August 18, 1227), was the founder and firstGreat Khan of the Mongol Empire, which became the largest contiguous empirein history after his death. He came to power by uniting many of the nomadic tribes ofNortheast Asia. After founding the Empire and being proclaimed "Genghis Khan", he launched theMongol invasions thatconquered most of Eurasia. Campaigns initiated in his lifetime include those against the Qara Khitai, Caucasus, andKhwarazmian,Western Xia and Jindynasties. These campaigns were often accompanied by large-scale massacres of the civilian populations – especially in the Khwarazmian and Western Xia controlled lands. By the end of his life, the Mongol Empire occupied a substantial portion of Central Asia andChina.
Sasa ipo hivi..
Historia iliyopo duniani tunaambiwa Nuhu ndio baba wa mataifa yotee baada ya Gharika kuu Lakini
Huyu Genghis Khan alizaa na watu wengi wengi sana kutokana na vamizi zake za kujipanulia utawala, kila alipopita aliacha lundo la watoto Hivyo basi Tafiti za kisayansi (DNA) zinasema Ukichukua watu kumi ukapima DNA yao basi watuNane Dna yao ita link na Dna za Genghis Khan. Hivyo Bloodlines yake imesambaa dunia nzima!
Sasa naomba kujua tu bandugu nani apewe heshima ya baba wa mataifa?
Cc.
wick zitto junior rajabkisauti
Wakuu naomba kuuliza kati ya Genghis Khan na Nuhu wa safina nani baba wa vizazi ulimwenguni?
Biblia inasema..
1 Hivi ndivyo vizazi vya wana wa Nuhu, Shemu, na Hamu, na Yafethi. Na kwao walizaliwa wana wa kiume baada ya gharika.
Mwanzo 10 :1
2 Wana wa Yafethi ni Gomeri, na Magogu, na Madai, na Yavani, na Tubali, na Mesheki, na Tirasi.
Mwanzo 10 :2
3 Na wana wa Gomeri ni Ashkenazi, na Rifathi, na Togama.
Mwanzo 10 :3
4 Na wana wa Yavani ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
Mwanzo 10 :4
5 Kwa hao nchi za pwani za mataifa ziligawanyikana kuwa nchi zao, kila moja kwa lugha yake, kwa jamaa zao, kufuata mataifa yao.
Mwanzo 10 :5
6 Na wana wa Hamu ni Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani.
Mwanzo 10 :6
7 Na wana wa Kushi ni Seba, na Havila, na Sabta, na Raama, na Sabteka. Na wana wa Raama ni Sheba, na Dedani.
Mwanzo 10 :7
8 Kushi akamzaa Nimrodi, akaanza kuwa mtu hodari katika nchi.
Mwanzo 10 :8
9 Alikuwa hodari kuwinda wanyama mbele za Bwana. Kwa hiyo watu hunena, Kama Nimrodi, hodari wa kuwinda wanyama mbele za Bwana.
Mwanzo 10 :9
10 Mwanzo wa ufalme wake ulikuwa Babeli na Ereku, na Akadi, na Kalne, katika nchi ya Shinari.
Mwanzo 10 :10
11 Akatoka katika nchi ile akaenda mpaka Ashuru, akajenga Ninawi, na Rehoboth-iri, na Kala;
Mwanzo 10 :11
12 na Reseni, kati ya Ninawi na Kala, nao ni mji mkubwa.
Mwanzo 10 :12
13 Misri akazaa Waludi, na Waanami, na Walehabi, na Wanaftuhi,
Mwanzo 10 :13
14 na Wapathrusi, na Wakasluhi; huko ndiko walikotoka Wafilisti na Wakaftori.
Mwanzo 10 :14
15 Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi,
Mwanzo 10 :15
16 na Myebusi, na Mwamori, na Mgirgashi,
Mwanzo 10 :16
17 na Mhivi, na Mwarki, na Msini,
Mwanzo 10 :17
18 na Mwarvadi, na Msemari, na Mhamathi. Baadaye jamaa za Wakanaani walitawanyikana.
Mwanzo 10 :18
19 Na mpaka wa Wakanaani ulianza kutoka Sidoni kwa njia ya Gerari hata Gaza; tena kwa njia ya Sodoma, na Gomora, na Adma, na Seboimu, hata Lasha.
Mwanzo 10 :19
20 Hao ndio wana wa Hamu, kufuata jamaa zao, kwa lugha zao, katika nchi zao, kufuata mataifa yao.
Mwanzo 10 :20
21 Naye Shemu ambaye ni baba wa wana wote wa Eberi, na ndugu mkubwa wa Yafethi, akazaliwa wana.
Mwanzo 10 :21
22 Wana wa Shemu ni Elamu, na Ashuru, na Arfaksadi, na Ludi, na Aramu.
Mwanzo 10 :22
23 Na wana wa Aramu ni Usi, na Huli, na Getheri, na Mashi.
Mwanzo 10 :23
24 Arfaksadi akamzaa Sela, Sela akamzaa Eberi.
Mwanzo 10 :24
25 Eberi akazaliwa wana wawili wa kiume; jina la wa kwanza ni Pelegi maana katika siku zake nchi iligawanyika; na jina la nduguye ni Yoktani.
Mwanzo 10 :25
26 Yoktani akamzaa Almodadi, na Shelefu, na Hasarmawethi, na Yera,
Mwanzo 10 :26
27 na Hadoramu, na Uzali, na Dikla,
Mwanzo 10 :27
28 na Obali, na Abimaeli, na Seba,
Mwanzo 10 :28
29 na Ofiri, na Havila, na Yobabi. Hao wote ndio wana wa Yoktani.
Mwanzo 10 :29
30 Makao yao yalikuwa kutoka Mesha kwa njia ya Sefari, mlima wa mashariki.
Mwanzo 10 :30
31 Hao ndio wana wa Shemu, kufuata jamaa zao, na lugha zao, katika nchi zao, kufuata mataifa yao.
Mwanzo 10 :31
32 Hizo ndizo jamaa za wana wa Nuhu, kufuata vizazi vyao, katika mataifa yao; na kwa hao mataifa yaligawanyika katika nchi baada ya gharika.
Mwanzo 10 :32
Genghis Khan ni nani..?
Genghis Khan or Chinggis Khaan[note 3](born Temüjin,[note 4] c. 1162 – August 18, 1227), was the founder and firstGreat Khan of the Mongol Empire, which became the largest contiguous empirein history after his death. He came to power by uniting many of the nomadic tribes ofNortheast Asia. After founding the Empire and being proclaimed "Genghis Khan", he launched theMongol invasions thatconquered most of Eurasia. Campaigns initiated in his lifetime include those against the Qara Khitai, Caucasus, andKhwarazmian,Western Xia and Jindynasties. These campaigns were often accompanied by large-scale massacres of the civilian populations – especially in the Khwarazmian and Western Xia controlled lands. By the end of his life, the Mongol Empire occupied a substantial portion of Central Asia andChina.
Sasa ipo hivi..
Historia iliyopo duniani tunaambiwa Nuhu ndio baba wa mataifa yotee baada ya Gharika kuu Lakini
Huyu Genghis Khan alizaa na watu wengi wengi sana kutokana na vamizi zake za kujipanulia utawala, kila alipopita aliacha lundo la watoto Hivyo basi Tafiti za kisayansi (DNA) zinasema Ukichukua watu kumi ukapima DNA yao basi watuNane Dna yao ita link na Dna za Genghis Khan. Hivyo Bloodlines yake imesambaa dunia nzima!
Sasa naomba kujua tu bandugu nani apewe heshima ya baba wa mataifa?
Cc.
wick zitto junior rajabkisauti