CDM ilishafariki walipompokea MTU waliyemtangaza kwa miaka 8 kuwa fisadi na baadaye kumbatiza kuwa Malaika. Sio Chama tishio tena na kisiote kwenda Ikulu Kabisa! Labda 2055Yaani huyu Dr. Mashinji duh. Hata kama ni viatu kumpwaya this is too much. Ndiyo shida ya mtu mmoja ku-hand pick viongozi. Demokrasia ingekuwa imetumika huyu Mashinji asingeupata ukatibu mkuu. Afadhali hata wangempa kijana wangu Ben Saanane angalau angeweza kuandika makala zaidi.
Kwani naye ni mwenyekiti?Habarini wadau.
Nauliza kaswali kadogo cha kizushi lakini chenye mantiki na ujumbe mzito.
Je Dr Slaa anaweza kurejea kwenye cheo chake cha ukatibu mkuu wa CDM?
TUJADILI BILA HASIRA!
lugumi na escrow mshamaliza mpaka muanze jadili mambo ya chadema??Habarini wadau.
Nauliza kaswali kadogo cha kizushi lakini chenye mantiki na ujumbe mzito.
Je Dr Slaa anaweza kurejea kwenye cheo chake cha ukatibu mkuu wa CDM?
TUJADILI BILA HASIRA!
Arudi ccm kabisa hawezi fanya siasa na mashetaniUmangimeza wa chadema hauwezi kumruhusu.ila dr.slaa apunguze hasira hizi ni siasa,arudi ajuunge na act wazalendo.
Soma hizo kanuni unazozirejea ili upate majibu! Unatuuliza sisi ni Kanuni? Zisome na utuletee mrejesho!Habarini wadau.
Nauliza kaswali kadogo cha kizushi lakini chenye mantiki na ujumbe mzito.
Je Dr Slaa anaweza kurejea kwenye cheo chake cha ukatibu mkuu wa CDM?
TUJADILI BILA HASIRA!
Dr. Slaa anaweza pia kurudi CCM kwani ndiko alikotokea kabla ya kuja CHADEMA!! Au kama akipenda kabisa anaweza kuurudia Upadri!!