Tukiassume hili ni chaguo la kimagumashi la mwenyekiti je CDM asili inaweza kujirejesha?Yaani huyu Dr. Mashinji duh. Hata kama ni viatu kumpwaya this is too much. Ndiyo shida ya mtu mmoja ku-hand pick viongozi. Demokrasia ingekuwa imetumika huyu Mashinji asingeupata ukatibu mkuu. Afadhali hata wangempa kijana wangu Ben Saanane angalau angeweza kuandika makala zaidi.
Ngoja nikuwekee namba ya simu ya Mtukufu Francis Mutungi , majibu yote anayo .Habarini wadau.
Nauliza kaswali kadogo cha kizushi lakini chenye mantiki na ujumbe mzito.
Je Dr Slaa anaweza kurejea kwenye cheo chake cha ukatibu mkuu wa CDM?
TUJADILI BILA HASIRA!
Habarini wadau.
Nauliza kaswali kadogo cha kizushi lakini chenye mantiki na ujumbe mzito.
Je Dr Slaa anaweza kurejea kwenye cheo chake cha ukatibu mkuu wa CDM?
TUJADILI BILA HASIRA!
Huyo ndio Mtume wa vyama vya siasa vya Tanzania , hapingwi na yeyote .Kabla ya Mutungi ni vyema wadau wa JF wakajadili
Kachelewa. Nafasi imeshajazwa. Akitubu dhambi zake abaki kuwa mwanachama wa kawaida tuHabarini wadau.
Nauliza kaswali kadogo cha kizushi lakini chenye mantiki na ujumbe mzito.
Je Dr Slaa anaweza kurejea kwenye cheo chake cha ukatibu mkuu wa CDM?
TUJADILI BILA HASIRA!