The Hyper
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 1,722
- 989
umekosea jukwaa nenda habari mchanganyiko.nilikuja mbio nilijua unampenda amefumaniwa.
Pole kwa fikra zako finyu.
umekosea jukwaa nenda habari mchanganyiko.nilikuja mbio nilijua unampenda amefumaniwa.
Bado tu mnataka kwenda kuliwa hela zenu na wajanja wakaendeshee Hummer?
Ama kweli bora uwe maskini kihali lakini usiwe maskini wa kujitambua kifikra.
Wanamwanza msiende na wake zenu jamaa anatisha kwa kuiba wake za watu huyu tahadhari
Kwi kwi kwi kwi.....Hata mimi nilikuja mbio nikidhani kuna yaliyomkuta huyu Mtumishi wa Bwana..Maanaaa....
kwani we wa jinsia gani ewe mwanakondoo?
umekosea jukwaa nenda habari mchanganyiko.nilikuja mbio nilijua unampenda au amefumaniwa.
Bado tu mnataka kwenda kuliwa hela zenu na wajanja wakaendeshee Hummer?
Ama kweli bora uwe maskini kihali lakini usiwe maskini wa kujitambua kifikra.
Hivi huwa mnalazimishwa kutoa hela?Hata mimi naona kumpelekea m/ume mwenzio hela ya bure tu akaishi maisha mazuri kama Lusekelo au mjanja kakobe.
Poleni sana ambao bado mpo gizani.
Kila roho iishiyo ni lazima iabudu.Bado tu mnataka kwenda kuliwa hela zenu na wajanja wakaendeshee Hummer?
Ama kweli bora uwe maskini kihali lakini usiwe maskini wa kujitambua kifikra.
huyu ni mamluki humu jukwaani.
Wanamwanza msiende na wake zenu jamaa anatisha kwa kuiba wake za watu huyu tahadhari
naona iyo hummer ya mchungaji gwajima inakutoa roho,acha wivu mkuu, mtumikie mungu nawewe utabarikiwa.
Busara zako ni za nyoka tu,huna lolote ulijualo.
Shame on you!
Wacha wee ulivoongea utadhani una ushaidi kumbe hakuna lolote ambalo unauhakika nalo...wengine sa zingine muwe mnakaa kimya tuMwakasege ni msanii wa neno la Mungu kama walivyo Lusekelo na Kokobe na Rwakatare.Mwakasege anafanya miujiza ya uongo na kusimulia habari za uongo.Wote wanatumia nguvu za kiza kuwalaghai watu.Someni bible ndugu zangu mpate kuujua ukweli msikubali kusimuliwa bible.
umekosea jukwaa nenda habari mchanganyiko.nilikuja mbio nilijua unampenda au amefumaniwa.
Mshukuru Mungu kwa kujua kwamba hao ni manabii wa uongo,matapeli wakubwa.Initoe roho kwa utapeli wanaofanya?bora niendeshe Vitz kuliko kuwaibia wanakondoo.
Zile nguvu za giza kutoka Nigeria we angalia pete zao. Sasa hivi mbona mradi huo.
mpaka ujue jinsia yangu ndo utanipa kampani?kwa mungu tunapeana kampani jinsia yoyote ndugu.