johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,919
- 141,885
Binafsi nilitegemea Katibu mkuu wa CHADEMA mh Mnyika kabla ya kutujuza timua timua ya wabunge chamani angetupa taarifa ya kile kilichomtokea meya wa Ubungo mh Jacob.
Kutolipa uzito suala la meya kutimuliwa kazini tena kwa kisingizio cha kufutwa uanachana kunaacha maswali mengi kuliko majibu.
Kwahiyo hawa mameya kwanini huwa hawapewi umuhimu na kamati kuu ya Chadema?
Tumeona Kimbe pale Iringa na sasa Jacob wa ubungo.
Kulikoni Chadema.
Maendeleo hayana vyama!
Kutolipa uzito suala la meya kutimuliwa kazini tena kwa kisingizio cha kufutwa uanachana kunaacha maswali mengi kuliko majibu.
Kwahiyo hawa mameya kwanini huwa hawapewi umuhimu na kamati kuu ya Chadema?
Tumeona Kimbe pale Iringa na sasa Jacob wa ubungo.
Kulikoni Chadema.
Maendeleo hayana vyama!