QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
Ki utaratibu, Rais anayemaliza muda wake ameishaona kuwa kuna uwezekano wa kushindwa. Je ameishafunga vilago ili kama Dr. Slaa akishinda ampishe? Maana wengine wataniuliza eti, je akishinda? Hilo halina tatizo, atafungua vilivyo vyake ili aanze kutunyonya tena kwa miaka mitano na kuongeza muda wa mikataba mibovu.
Lakini akishindwa, asitucheleweshe kumwingiza rais wetu ili aanze kazi mara moja.
Lakini akishindwa, asitucheleweshe kumwingiza rais wetu ili aanze kazi mara moja.