Je, jamii ya wachaga inafanyia wanawake ukeketaji?

Je, jamii ya wachaga inafanyia wanawake ukeketaji?

Nyau sana, umeshindwa kumuuliza imekuwaje uje utuulize sie.
Dhumuni langu kutaka kujua maana jamii sijawai kuisikia ikipiga vita ukeketaji mkoani Kilimanjaro na ukeketaji kumbe unafanyika
 
Hakuna utani, Mila za kichaga wanakeketa
Nilikuwa sijui hilo.


kile kibutu kinachobakia baada ya kukatwa kiharage kina uchezeaji wake kile basi mashamsham yakiwapanda burudaaaani.



NB; hawawatendei haki kuwakeketa.
 
Ushauziwa mbuzi kwenye gunia. Huyo atakuwa Mbulu siyo Mchagga. Ila kwa sababu ww boya akaona akuingize king
 
Ushauziwa mbuzi kwenye gunia. Huyo atakuwa Mbulu siyo Mchagga. Ila kwa sababu ww boya akaona akuingize king
Mchaga pure Tena kwao Himo Tena jinalake lakichaga kabisa
 
Nilikuwa sijui hilo.


kile kibutu kinachobakia baada ya kukatwa kiharage kina uchezeaji wake kile basi mashamsham yakiwapanda burudaaaani.



NB; hawawatendei haki kuwakeketa.
😄😄😄
 
Mbona ukeketaji unapigwa vita baadhi ya maeneo , Kilimanjaro aupigwi vita?
Labda ndipo kwenye mizizi na kungoa mizizi ni tabu kuliko kukata matawi
 
Mbona sijawai kusikia vyomba vya habar vikikemea Kilimanjaro waache kukeketa?
Ipo mimi nilishamuuliza bidada anafanya kazi katika NGO mojawapo ya maswala ya kijamii akaniambia yes hiyo makitu ipo....
 
Back
Top Bottom