Je, jamaa aoe au amuache huyu mwanamke?

Je, jamaa aoe au amuache huyu mwanamke?

ThaGreatman

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2018
Posts
708
Reaction score
1,466
Ni rafiki yangu wa karibu,kanitumia screenshorts za majibu ya mpenzi wake baada ya kunyimwa penzi kwa miezi kadhaa na mpnz anayedai kuwa na ndoto za kumuoa!

Anadai kwa kipindi kirefu ameyumba sana kiuchumi,hali iliyopelekea kushindwa kumudu mahitaji yake na mpenzi wake, ndipo mpenzi wake akaanza kumpiga kalenda linapokuja swala la mapenzi,baada ya kumuuliza kwa nini amebadilika, binti bila kusita akamwangushia jamaa meseji ndeeefu akito ya moyoni,kama inavyoonyesha hapa chini, je,rafiki yangu huyu,aendelee kubaki hapa au aachane naye?
IMG_20190819_074549_273.jpeg
 
Mwendokasi, Treni, Bombadier hadi Panton huko kote kuna free tickets inategemea na wadhfa wako tu.
 
Jamaa anakomaa kiume,japo anasema alimwambia mwenzi wake japo kueleweka pia ni changamoto kwake
Uwezo wa huyo mwenzio uko vip kiuchumi? Je alipoyumba alimjulisha mwenzie kua ameyumba au alikufa kiume? Lakini hilo la kuumwa na kutumiwa nalo sio poa hahah
 
Dunia ya sasa kubembelezana na mwanamke anayeringa kwa visababu fulan fulan ni upumbavu.

Kama anaona huyo demu anajiona matawi amuache akatafute level yake, atakayeweza kuendana na uchumi wake, mbona wako tele mtaani?
 
Swala n dogo tu,CARE: mwambie abadilike hapo maana sion kama demu anahitaji pesa ila ana wasiwasi kwamba hata wakiwa kwny ndoa atashndwa kumjali na awe muwazi kuhusu hali yake ya kiuchumi
 
A lot of people ain't looking for love, they're looking for help. I bet... she's the one of them.
Umenena kweli tupu,I had the same perspective ila kumwambia jamaa amwache nilipata kigugumizi kwa sababu jamaa angemwambia mpenzi wake kuwa mimi ndo nataka kuwaachanisha ingekuwa aibu mbaya kwangu
 
Namba tumesha zipata acha wenye pesa tujitutumue kwa huyo bibie
 
Back
Top Bottom