silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Tumeamua kujitoa kwenye mchakato mzima wa kuratibu Marekebisho ya Muswada wa Sheria ya Katiba kutokana na Rais kukiuka makubaliano yetu Ikulu yaliyomtaka aupitie kwanza kabla ya kuusaini. (Mh. John Mnyika)
Na karecomend kabisa " hatutafanya maandamano bali tutapeleka mapendekezo tuliyokubaliana na Mh. Raisi kwa wananchi na kuwaelimisha jii ya hili"
Je hii itasaidia kwa mustakabali wa katiba yenye manufaa kwetu?
Na karecomend kabisa " hatutafanya maandamano bali tutapeleka mapendekezo tuliyokubaliana na Mh. Raisi kwa wananchi na kuwaelimisha jii ya hili"
Je hii itasaidia kwa mustakabali wa katiba yenye manufaa kwetu?