Je, Israel itaweza kushambulia vinu vya nuclear Iran?

Israel kama sio uchawi basi Kuna mkono wa Mungu!
Ilinishangaza yule kirusi Stuxnet worm kuvamia zile project za nuke za Iran kirahisi..
 
Hajui hata Marekani inatawaliwa na Yahudi
Soma kuhusu (ZOG) Zionist-Occupied Government au (JOG) Jewish Occcupational Government, mkuu hizo ni theory tu ulizolishwa na zaidi naamini umesikia kwa mwingine, lakini ukiulizwa kutetea hoja yako huna facts zenye nguvu.
Hizo ni antisemitic conspirancy theory,(Theory za kibaguzi zinazotengenezwa na makundi yenye nguvu fulani na ushawishi mfano Ku Klux Clan).

Hata wewe unaruhusiwa kuwa Jew kama ukitaka, Jews ni wale wana practice jewish religion au wametokana na zile kabila 12, hata wewe ukiingia kuwa Jew wanakupa na jina la kiyahudi.
Zionist ni wale wanaamini Jews wanapaswa kuwa na taifa lao(Israel) pia Zionism naweza sema ni Political philosophy kuna Zionist ambao ni jews na kuna ambao sio Jews.

Pia kuna Jews ambao ni anti-Zionist.

Sasa sijui katika USA unazungumzia Jews wa aina gani? wanaoongoza marekani?

Mtoto wa Trump Ivanka Trump ambaye ni mshauri wa raisi D.Trump ni Jewish, lakini ame convert wakati mama yake sio wala baba, sasa sijui kama na yeye ni choosen one kama unavyoamini au?
 
Baada yakuvamia ikawaje !!?

Israel kama sio uchawi basi Kuna mkono wa Mungu!
Ilinishangaza yule kirusi Stuxnet worm kuvamia zile project za nuke za Iran kirahisi..
Umesoma Pay2Key?
Israel pia walikuwa attacked na Iran pia.
Chanzo cha habari ni haaretz cha Israel wenyewe.
cyber_haaretz.PNG

Baada ya shambulizi la stuxnet worm, bado wanaendelea na kurutubisha nuclear kama kawaida.
 
Israel inawapa moral wairan wasome sana sayansi ya kivita na technology kwa kuwaua wanasayansi wa iran na hii itasababisha israel ipate uponzani mkubwa kwasababu iran ina population kubwa kwahiyo watu wakiwa na moral wakiwa macientist itakuwa na macientist wengi sana na hapo ndo mwanzo wa kuifuta israel kwenye uso wa dunia

Doto ambazo asiwezi kutimia au utakaa ushuhudie bora uachane nazo
 
Ndugu umeandika kishabiki sana. Israel ilishinda vita ya 6 na Waarabu na ikachukua Sinai na baadaye mkataba wa amani baina yake na Anwar Sadati.

Hivi sasa Israel haina uwezo huo tena. Mwandishi umekuwa shabiki sana. 2006 Waisraeli walishinda kwenye mahandaki kama panya mpaka walipoomba poo na wazee wa shughuli Hizbullah. Israel ilikimbilia UN kuomba kusitisha vita. UNSC wakaingilia kati maana jamaa walielekea kuangamia. Wacheni ushabiki hapa. Hata vitabu vya dini vimetabiri anguko la hawa watu na linakaribia.

Kwa sasa Israel haina uwezo wa kuingia Iran

Wambie hao waraabu waiguse sasa si wameua wanasayansi wao kibao sasa si muende kama amjarudi bila kichwa
 
Iran Ina missiles za kufika Marekani.. hili halipo Iran bado haina uwezo wa kutengeneza kombora la kufky kutoka kwao Hadi ugenini US

Nyie watu bwana mwanzo mlisema IRAQ iwezekani mwisho wasiku mkashuhudia jamaa anapigwa kamba ya shingo kweupeeee mara mkasema SYRIA matokeo yake mmeona leo mmeanza Iran ikipigwa nayo mtasema ooh SOMALIA Duu yaani hamchoki
 
Hii nchi unayosifia ina nguvu ndio ilitekwa na kuwekwa uhamishoni miaka almost elfu mbili na Warumi. Hii nchi kabla ya hapo iliwekwa mateka hata Yesu anazaliwa alikuta ina wakoloni Warumi na aliwaacha. Hitler aliwagaragaza kwenye matanuru ya sumu na umeme.

Taifa lenye nguvu haliwezi nyanyasika hivi. Kihistoria, Israel haina majigambo mbele ya Japan iliyotawala nchi nyingi kwenye Pacific ikaja pigwa na superpowers. Russia ndio kabisa huyu hajawahi shindwa vita akatekwa sijui kutumikishwa iwe na Genghis Khan, Napoleon au Hitler. Ujerumani anaweza jigamba mbele ya Israel tukamuelewa sana, mwaka 1918 kanyanganywa makoloni na kabaki mweupe hana kitu ila mwaka 1939 kapiganisha dunia kwa miaka mitano.

Israel hajawahi fanya maajabu yoyote na hastahili hizi kelele mnazomvika. Kama kupigana na majirani kwa kusaidiwa, Chile iliwahi pigana single handed na majirani zake wenye nguvu zaidi yake.

Toka pepo la Uongo
 
Moja ya vitu nisivyovikubali ni Israel kuwa target na kuwa assasinate wana sayansi.. Dunia inawahitaji sana wanasayansi kuliko inavyowahitaji wanasiasa
Inawahitaji wanasayansi wanaotengeneza silaha za maangamizi?
 
Kinaendelea kunuka Iraq mda huu

Four attacks on #US military convoys in #Iraq in one day

In four separate attacks, Iraqi resistance groups targeted US military convoys near Samawah in Muthanna province, Nasiriyah in Dhi Qar province, al-Diwaniyah in Qadisiyah province and Babil province
 
Back
Top Bottom