Dah! Miaka hiyo likiitishwa kunji, basi ni kunji kweli! Ole wako uonekane eti uko darasani unapiga msuli! Unatolewa na viboko kudadeki! Waoga wote wa mgomo mara zote walibaki hostel au kwenye mageto yao, siku zote tulipo goma! Na ilikuwa ni lazima kieleweke.DARUSO siku hizi ni tawi la UVCCM bila kadi ya chama hugombei. Hasa DUCE. Madogo wote wajinga wajinga tu.
Askari hawezi kushtakiwa kwa kosa la jinai kabla ya kufukuzwa kazi, atafukuzwa kwanza kaz kwenye mahakama ya kijeshi alaf atapelekwa mahakama ya kiraia ndo huko ataenda gerezan, ila kama hakutendewa haki anaweza kukata rufaa na kama alionewa atalipwa fidia pamoja na kurudishwa kaziniSasa sijui tusemee wapi?
Vijana 30 - 1 sasahiv wanahangaikaa. (huyo mmoja alipigwa Risasi alipoenda kutafuta ridhiki usiku
Alafu sasa mpaka mwanasheria mkuu..,alikubali kua,
HUWEZI KUFUKUZWA KWA MDOMO( jamaa walifukuzwa kwa mdomo, nakupewa hela ya nauli kila mmoja)
WALIFUNGWA GEREZA LA UKONGA.
MPAKA LEO HAWAJAPEWA BARUA ZA KUFUKUZWA.
HATA KM WANGEPEWA, VIPI STAHIKI ZAO????
Mkuu hawa hawana hiyo 'Kila aina ya mafunzo' ya Jeshi Uliyoandika, isitoshe hawa ni wale walikuwa wa kujitolea, siyo wote wanapata ajira, wengine hurudi nyumbani kuendelea na maisha,Nimemsikiliza Jana CDF Jenerali Mabeyo akisema Kwamba takriban Vijana 854 wamefukuzwa Jeshi kwa Kufanya maandamano na Kugoma ambapo alisema ni uasi.
Je, Hao Vijana Kama Walikuwa na Uwezo Wa Kupanga na Kufanya Uasi ndani ya Jeshi ina maana intelijensia ya Jeshi Haina Uwezo Wa Kugundua Hivi Vitu na Kuzima Hizi Harakati za Hawa Vijana Mapema?
Haya wanaondolewa Jeshini na Wana kila Aina ya Mafunzo Je Wakiwa uraiani Watafuatiliwaje Ili wasifanye Madhara Yoyote Kwa Wananchi au Wanaweza Kujiunga Hata na Magenge Ya Uhalifu.
Je, wataachwa kiholela bila Kufuatiliwa Serikali ikajua wanafanya nn?
Cc MtamaMchungu JokaKuu
Mdogo wako angekuwepo au mwanao ungeongea upuuz huuKama wameasi kweli basi wamepata stahiki yao.
Tena bora wafungwe hata miaka 100 tuu kabisa, waasi sio watu wa kucheka nao kabisa
Mwanao au ndugu yako akifanya kosa inabadili uhalisia kuwa amefanya kosa? Au inamuondolea uhalali wa yeye kuadhibiwa?Mdogo wako angekuwepo au mwanao ungeongea upuuz huu
'Waandikishwa'.... ref to Mabeyo's speech.SI waajiriwa Bali?
MmhJkt hawana hicho unachoita kila aina ya mafunzo
Wanalima na kufuga tu
Kwa Sheria ipi? Walevi wa wanzuki huwa mnabuni-buni tu.Askari hawezi kushtakiwa kwa kosa la jinai kabla ya kufukuzwa kazi, atafukuzwa kwanza kaz kwenye mahakama ya kijeshi alaf atapelekwa mahakama ya kiraia ndo huko ataenda gerezan, ila kama hakutendewa haki anaweza kukata rufaa na kama alionewa atalipwa fidia pamoja na kurudishwa kazini
Ndugu yanguunaposema wana kila aina ya mafunzo unakosea Sana'a hebu jaribu kufatiliaNimemsikiliza Jana CDF Jenerali Mabeyo akisema Kwamba takriban Vijana 854 wamefukuzwa Jeshi kwa Kufanya maandamano na Kugoma ambapo alisema ni uasi.
Je, Hao Vijana Kama Walikuwa na Uwezo Wa Kupanga na Kufanya Uasi ndani ya Jeshi ina maana intelijensia ya Jeshi Haina Uwezo Wa Kugundua Hivi Vitu na Kuzima Hizi Harakati za Hawa Vijana Mapema?
Haya wanaondolewa Jeshini na Wana kila Aina ya Mafunzo Je Wakiwa uraiani Watafuatiliwaje Ili wasifanye Madhara Yoyote Kwa Wananchi au Wanaweza Kujiunga Hata na Magenge Ya Uhalifu.
Je, wataachwa kiholela bila Kufuatiliwa Serikali ikajua wanafanya nn?
Cc MtamaMchungu JokaKuu
Kusema hao njuka wamepata kila aina ya mafunzo ni kulinajishi jeshi!
Kama wameshindwa kuwa wavumilivu wakagoma, waache wale jeuri yao! Na huko mtaani wakithubutu kufanya uhalifu eti kwa sababu wamefuzwa kwata kidogo na kushika gobole watanyofolewa shingo!
Mambo mengine yanatokea kwa sababu, maalum! Elewa jeshini si sehemu ya ajira! Wanajeshi si waajiriwa!
Naungana na Mabeyo!
Wanajua matumizi ya bunduki ? Au mpaka wawe wanajeshi ndio wanafundishwa kutumia bunduki ? Na vitani kinacho tumika kumuua adui ni bunduki au ni mafunzo asilimia 1000%?Unavyosema wana kila aina ya mafunzo una maanisha nini...!?
Hawa wamepitia tu huko jkt miaka mitatu, tena zaidi walikuwa wanajishughulisha na shughuli za ujenzi na mafunzo waliyoyapata jeshini huko ni haifiki hata 5% ya mafunzo ya jeshi!
Sasa wewe unakurupuka eti wana kila aina ya mafunzo!
Hao hata raia wa kawaida ambaye hajapitia hata mgambi anaweza kuwakunja!
popoma lingine hili hapa
Hapana ukweli usemwe malipo walikua wanapata na wanajua wanapewa sh ngapi na haya wakati wanajaza mkataba walikua wanajua posho sh ngapi.MkNadhani baada ya kuwatumisha bila malipo kwenye miradi ya ujenzi ni wakati sahihi kuwatema.Si kweli kwamba hawana intelligent ya kugundua viasilia vyovyote kabla ya tukio.
is why wanakuwa trained ku ignore feelings, ku ingnore pains. only follow orders.Hazina feelings? Maumivu?
Intelijensi ipo imara haswaa pale Jeshini..Nimemsikiliza Jana CDF Jenerali Mabeyo akisema Kwamba takriban Vijana 854 wamefukuzwa Jeshi kwa Kufanya maandamano na Kugoma ambapo alisema ni uasi.
Je, Hao Vijana Kama Walikuwa na Uwezo Wa Kupanga na Kufanya Uasi ndani ya Jeshi ina maana intelijensia ya Jeshi Haina Uwezo Wa Kugundua Hivi Vitu na Kuzima Hizi Harakati za Hawa Vijana Mapema?
Haya wanaondolewa Jeshini na Wana kila Aina ya Mafunzo Je Wakiwa uraiani Watafuatiliwaje Ili wasifanye Madhara Yoyote Kwa Wananchi au Wanaweza Kujiunga Hata na Magenge Ya Uhalifu.
Je, wataachwa kiholela bila Kufuatiliwa Serikali ikajua wanafanya nn?
Cc MtamaMchungu JokaKuu
Mwenyewe nawashangaa sana watu wanaosema kauli za aina hiyo, jamani jeshi halina mwenye mafunzo kiasi cha kutishia kwamba hawezi kuchukuliwa hatua pale anapokosea since hicho kinachoitwa mafunzo aliyonayo kuna watu walimfundisha.Unavyosema wana kila aina ya mafunzo una maanisha nini...!?
Hawa wamepitia tu huko jkt miaka mitatu, tena zaidi walikuwa wanajishughulisha na shughuli za ujenzi na mafunzo waliyoyapata jeshini huko ni haifiki hata 5% ya mafunzo ya jeshi!
Sasa wewe unakurupuka eti wana kila aina ya mafunzo!
Hao hata raia wa kawaida ambaye hajapitia hata mgambi anaweza kuwakunja!
utii bila maswali hata kama afande anakuvua nguo anataka kukubanduaVijana awakujua
Kazi ya jeshi = UTII bila maswali
utii bila maswali hata kama afande anakuvua nguo anataka kukubandua