Una haraka sana bwana macho. Yaani una mbio za kuparamia kutoa hoja. Unatoa majibu kwa kutumia hisia ndo maana unahemuka. " Embu toa ujinga hapa, usitutishe, peleka upumbavu huko"🤣🤣🤣🤣Wewe ndiyo una akili za kuwapa watu maangalizo? Kusema ukweli ndiyo unaona mtu anafaa kupewa angalizo. Ondoa woga wako wa kishamba hapa. Tuko hapa tangu JF ianzishwe na kuna vitu nyeti mara milioni moja kuliko hili vimeandikwa hapa. Ondoa ushamba wako mtu wa kuja.