Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 27,915
- 80,548
Dah! Miaka hiyo likiitishwa kunji, basi ni kunji kweli! Ole wako uonekane eti uko darasani unapiga msuli! Unatolewa na viboko kudadeki! Waoga wote wa mgomo mara zote walibaki hostel au kwenye mageto yao, siku zote tulipo goma! Na ilikuwa ni lazima kieleweke.DARUSO siku hizi ni tawi la UVCCM bila kadi ya chama hugombei. Hasa DUCE. Madogo wote wajinga wajinga tu.
Maprof. na Madokta vichwa maji walitolewa kwenye ule ukumbi wa Nkrumah wakiwa wamebebwa mzobe mzobe!! Sasa leo naambiwa DARUSO ni Uvccm! aka Mlenda mlenda!! Kweli siku zinaenda kasi sana.