Wapendwa
Natumaini wote mlikuwa na weekend njema.
Hivi ulishawahijiuliza ingekuwaje kama kungekuwa na uwezekano wa kurekodi zile confessions za mapenzi, viapo vya nakupenda sana, sijiwezi juu yako n.k tunavyopeana mwanzoni mwa mahusiano? Je unadhani kama mambo yanakwenda mrama, kisha uka'iplay' that tape back...... kungekuwa na kuumizana, kuachana??
Nawaza tu kwa sauti maana mapenzi nilonayo kwa mwandani, na mahashuo nnayomuashua nahofia yasijenisuta siku moja nkijikuta namfanyia visa (MUNGU pitishia mbali) LOL.
Nakumbuka nliambiwaga .............Wallah we mwanamke nakupenda, ukijaniacha nakuua.......afu nikaachwa mie!!!![/QUOTE]
hahhahahah MJ1 Kuna watu wanajua kubembeleza zile siku za furaha ..aaaaaaaaaaaaaagh sitaki kukumbuka ,Na siku ya kukuacha i see ...dunia hii ina mambo na vituko..thanks god tulipewa kusahau....
Wapendwa
Natumaini wote mlikuwa na weekend njema.
Hivi ulishawahijiuliza ingekuwaje kama kungekuwa na uwezekano wa kurekodi zile confessions za mapenzi, viapo vya nakupenda sana, sijiwezi juu yako n.k tunavyopeana mwanzoni mwa mahusiano? Je unadhani kama mambo yanakwenda mrama, kisha uka'iplay' that tape back...... kungekuwa na kuumizana, kuachana??
Nawaza tu kwa sauti maana mapenzi nilonayo kwa mwandani, na mahashuo nnayomuashua nahofia yasijenisuta siku moja nkijikuta namfanyia visa (MUNGU pitishia mbali) LOL.
Nakumbuka nliambiwaga .............Wallah we mwanamke nakupenda, ukijaniacha nakuua.......afu nikaachwa mie!!!!
Maneno mengine wakati wa kutongozana huwa yanatamkwa kunogesha penzi tu, wala hayatoki moyoni. Kwa hiyo hata ukiyarekodi yanaweza yasisaidie sana kuamsha hisia upya pindi mapenzi yakishachuja! I am just thinking aloud!
ndo utajua binadamu mnafiki.especially wanaume.:ukiniacha sitaoa tena; kumbe mwezi ujao ana harusi
haya bwana tushadanganyika tufanyeje sasa?Sasa Bebii nisiposema kile ambachop naweza sema muda huo unategemea nitakisema muda gani sasa. Uwongo sometime unasaidia katika kuhakikisha kuwa napata kile ninachokitaka na sio kila mahali unasema uwongo mwingine utakamatwa wakati utakapoulizwa kesho yake jana ulisema nini
haya bwana tushadanganyika tufanyeje sasa?
mmmmmmmmmhunakubaliana na hali halisi mambo yanapoharibika na yule mhusika anapota sasa makucha yake kukuambia hakutaki
mmmmmmmmmh
ni kweli wote moja jumlisha moja ni mbiliusigune bana haya ni mambo ya kawaida na yapo siku zote na wanaume tupo kama tumezaliwa na mama mmoja maana tunafanana kwenye fani sana
ni kweli wote moja jumlisha moja ni mbili
eti eeeehwith exception of me .. Mi nasema kweli daima
eti eeeeh
...tunapenda kusikia kile tupendacho kuambiwa. Wengine huomba hata wadanganywe wapate ahueni..!
Mapenzi ni Ugonjwa, kuna nyakati kudanganywa inageuka tiba.
Kuhusiana na mada hii, Ahadi na Viapo vya vyanzoni ni sawa na Cement na matofali wakati wa kujengea msingi
~ Love Foundation.
...hata msingi uwe imara kiasi gani, patatokea nyufa na mipasuko maishani.
Hakuna sababu ya kuhoji ubora wa Viapo na ahadi mf; Cement ya Tanga, Mbeya au Wazo kwakuwa tu Nyumba inapitia misuko suko ya majira mbali mbali ya mwaka i.e Masika, kiangazi, kipupwe nk...i.eSeasons of Love
Kila nyumba (Ndoa) inahitaji matunzo na ukarabati (maboresho) ya hapa na pale kadri mnavyoendelea kukaa 'humo'