Je Ingekuwaje.........What If...........??

Wapendwa
Natumaini wote mlikuwa na weekend njema.

Hivi ulishawahijiuliza ingekuwaje kama kungekuwa na uwezekano wa kurekodi zile confessions za mapenzi, viapo vya nakupenda sana, sijiwezi juu yako n.k tunavyopeana mwanzoni mwa mahusiano? Je unadhani kama mambo yanakwenda mrama, kisha uka'iplay' that tape back...... kungekuwa na kuumizana, kuachana??

Nawaza tu kwa sauti maana mapenzi nilonayo kwa mwandani, na mahashuo nnayomuashua nahofia yasijenisuta siku moja nkijikuta namfanyia visa (MUNGU pitishia mbali) LOL.

Nakumbuka nliambiwaga .............Wallah we mwanamke nakupenda, ukijaniacha nakuua.......afu nikaachwa mie!!!!

Maisha aina yote yana stage yake... Kumbukumbu ni historia..mambo mengi yamepita na Mwenyezi Mungu ametunyima uwezo wa kutabiri na kuona yajayo ila ametupa uwezo wa kukumbuka yale mazuri yaliyopita..Hata tukiwa na huzuni ..tutaangalia kumbu kumbu na kuishia kusema..' Ni wakati wa dhahabu'.. ni historia haijirudii.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
mkuu mbu hayo mengine yote ni sawa
lakini hilo no 1 ni ngumu mno
kwenye mapenzi tukishanogewa ndo ahadi zinatoka zenyewe mdomoni
yaani utasema mdomo unajitegemea hivi lol

...lol.... ndio maana nikasema kuji discipline wenyewe.
Don't promise what you cannot fulfil! ...maumivu yake ni mabaya sana.

Ni kujidanganya [mwenyewe,] na unayemdanganya.
Akijatambua ulimdanganya hutaweza mdanganya tena!

Only Make Promises You Can Keep!
 
Mbu I can promise to love you forever but unawezabadilika weye nkajikuta nalazimika kuvunja nadhiri yangu! Au?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Maisha ni safari,kwenye safari kuna mambo mengi ukilijua hilo utamtanguliza Mungu kwenye kila jaribu tunalokutana nalo.MJI kuna wakati huwa nawaza uliyosema lakini nimejikuta mara zote nikimshukuru Muumba.
Ulishawahi kujiuliza kama maisha yangekuwa hayana maumivu nani angefikiri kwa ajili ya kesho,tungekuwa wabunifu ,tungethamini yale mazuri tunayopata kwa wenzetu naendelea kuwa mwanafunzi mzuri,kumpenda,kumuheshimu baada ya kujikwaa mara nyingi MJI.
 
Maisha ni safari,kwenye safari kuna mambo mengi ukilijua hilo utamtanguliza Mungu kwenye kila jaribu tunalokutana nalo.MJI kuna wakati huwa nawaza uliyosema lakini nimejikuta mara zote nikimshukuru Muumba.<br />
Ulishawahi kujiuliza kama maisha yangekuwa hayana maumivu nani angefikiri kwa ajili ya kesho,tungekuwa wabunifu ,tungethamini yale mazuri tunayopata kwa wenzetu naendelea kuwa mwanafunzi mzuri,kumpenda,kumuheshimu baada ya kujikwaa mara nyingi MJI.
<br />
<br />
Thank you so much for these useful words!
 
Wapendwa
Natumaini wote mlikuwa na weekend njema.

Hivi ulishawahijiuliza ingekuwaje kama kungekuwa na uwezekano wa kurekodi zile confessions za mapenzi, viapo vya nakupenda sana, sijiwezi juu yako n.k tunavyopeana mwanzoni mwa mahusiano? Je unadhani kama mambo yanakwenda mrama, kisha uka'iplay' that tape back...... kungekuwa na kuumizana, kuachana??

Nawaza tu kwa sauti maana mapenzi nilonayo kwa mwandani, na mahashuo nnayomuashua nahofia yasijenisuta siku moja nkijikuta namfanyia visa (MUNGU pitishia mbali) LOL.

Nakumbuka nliambiwaga .............Wallah we mwanamke nakupenda, ukijaniacha nakuua.......afu nikaachwa mie!!!!
iyo sentensi yako ya mwisho imeniumiza sana, mi nawaza nikija kufumania tu, sijui itakuwaje
 
Huu wimbo umenikumbusha ..mbaaaali sana! tena sana...Thanks! Mungu ni mkubwa tumetoka mbali..

Mkuu ni kweli kabisa Mungu ni mkubwa na ndio maana tunatakiwa kumshukuru sana Muumba wetu kila siku iendayo kwa Mungu kwa majaliwa yake mengi anayotupa kila saa, kila siku, kila wiki, kila mwezi na hata kila mwaka.
 
....mwj1, usipoufumgua moyo wako na kupenda tena sitakulaumu. Yaonyesha donda ndugu na huyo alokujeruhi amefanikiwa kwa kiwango kikubwa kuhakikisha mapenzi ulompatia hakuna atayekuja kuyafaidi tena.

Am different. Pamoja na yote nilopitia, naamini mwenza wangu anastahiki kupata mapenzi yangu yote. Majeraha ya kale hayamhusu. I mean, Hayahusu kukuumizia wala kujilinda nayo kwako ewe Mwj1...nimekujibu?
 
Huu wimbo ni katika kuburudisha tu Mkuu, nani kakwambia miaka 30 :) ni uzee, Mkubwa? Bado unadai sana tu....cha muhimu ni kuomba Mwenyezi Mungu atujaalie maisha marefu na afya njema....

Aisee hili songi limenikumbusha mbali sana.. Asante sana BAK
 
....mwj1, usipoufumgua moyo wako na kupenda tena sitakulaumu. Yaonyesha donda ndugu na huyo alokujeruhi amefanikiwa kwa kiwango kikubwa kuhakikisha mapenzi ulompatia hakuna atayekuja kuyafaidi tena.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Am different. Pamoja na yote nilopitia, naamini mwenza wangu anastahiki kupata mapenzi yangu yote. Majeraha ya kale hayamhusu. I mean, Hayahusu kukuumizia wala kujilinda nayo kwako ewe Mwj1...nimekujibu?
LoL Mbu ndo unataka kusema kina sie ndo wale wakubeba na mizigo from one relationship to another?! Lol kwangu mie naamini nimeshapona na hata kama kuna kovu ntajitahidi mwenza wangu wa sasa asilione au kulihisi!

Umenijibu sawia kabisa Mbu aksante
Eti donda ndugu hahah lilikuwa donda but naamini si ndugu bana!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mimi huwa nasema kuwa its funny kwamba <br />
mapenzi yanapoanza kwa wengi wanakuwa wazungu zaidi....<br />
Mwendo ni honey,sweetheart...baby.......my love ......n.k.....<br />
<br />
Sasa wakati wa kuachana tunaachana kiswahili.......utasikia...<br />
<br />
We mwanamke gani,ooh mbwa kabisa,nguruwe na matusi ya nguoni<br />
ambayo yote kwa kiswahili tena fasaha.....<br />
<br />
Sasa huwa nacheka...najiuliza...kwa nini kutongozana kiswahili hamjui,<br />
kuachana ni we mama nanihi kwenda kwenu,nisikuona hapa .mbwa kabisa...<br />
<br />
Tuachane kwa kiingereza pia.....lol
<br />
<br />
Inaonekana unaacha vibaya mweee, mie nikiachwa sijui nitafanyaje mie hata kwenye vihusiano vile nilikimbia mie ila kimyakimya taratibu bila kutukana
 
BAK aksante sana kwa burudani hiyo. Haya mapenzi bwana yaacheni yaitwe mapenzi. Nawaza kwa nguvu tu .......yaani mwanzo huwa matamu unajiona uko peponi, yakichuja mwe!! Kajisemea The Boss hapo eti tunaacha kiswahili!!
 
wPAezNpP1m5nwAAAABJRU5ErkJggg==


Enzi hizo unatumiwa cards, maua loh after a while ndo yanatimia yaliyosemwa na The Boss..........hivi ikitokea anakukorofisha/anakuacha ukimkusanyia cards zoooote ukamtumia!! hawezibadili mawazo? haiwezi kutrigger mapenzi ya mwanzo??? hahahahhah
 
Nakumbuka nliambiwaga .............Wallah we mwanamke nakupenda, ukijaniacha nakuua.......afu nikaachwa mie!!!!

Ha ha ahaaaa mj1 umenikumbusha mbali saaaana ahadi kama hizo sikuhizi naziita kuweweseka
 
<br />
<br />
Inaonekana unaacha vibaya mweee, mie nikiachwa sijui nitafanyaje mie hata kwenye vihusiano vile nilikimbia mie ila kimyakimya taratibu bila kutukana

nimezungumzia wengine hapo sio mimi
mimi huwa we remain friends forever
 
Wapendwa
Natumaini wote mlikuwa na weekend njema.

Hivi ulishawahijiuliza ingekuwaje kama kungekuwa na uwezekano wa kurekodi zile confessions za mapenzi, viapo vya nakupenda sana, sijiwezi juu yako n.k tunavyopeana mwanzoni mwa mahusiano? Je unadhani kama mambo yanakwenda mrama, kisha uka'iplay' that tape back...... kungekuwa na kuumizana, kuachana??

Nawaza tu kwa sauti maana mapenzi nilonayo kwa mwandani, na mahashuo nnayomuashua nahofia yasijenisuta siku moja nkijikuta namfanyia visa (MUNGU pitishia mbali) LOL.

Nakumbuka nliambiwaga .............Wallah we mwanamke nakupenda, ukijaniacha nakuua.......afu nikaachwa mie!!!!


Maneno mengine wakati wa kutongozana huwa yanatamkwa kunogesha penzi tu, wala hayatoki moyoni. Kwa hiyo hata ukiyarekodi yanaweza yasisaidie sana kuamsha hisia upya pindi mapenzi yakishachuja! I am just thinking aloud!
 
Maneno mengine wakati wa kutongozana huwa yanatamkwa kunogesha penzi tu, wala hayatoki moyoni. Kwa hiyo hata ukiyarekodi yanaweza yasisaidie sana kuamsha hisia upya pindi mapenzi yakishachuja! I am just thinking aloud!


haafu kwa wanaume ukitukumbusha yale tuliyokuwa tunayazumza while in love inatia hasira zaidi
kwa sababu most of the time
tuna kuwa in love na mtu mwingine kabisa na yule tunaekuja kuachana nae
wakati wa kuachana unamuona mwenzio kabadilika
au alificha makucha yake,au alikupumbaza
so kunikumbushia.ni kunikumbushia how stupid i was to believe you and fall for you
 
wPAezNpP1m5nwAAAABJRU5ErkJggg==


Enzi hizo unatumiwa cards, maua loh after a while ndo yanatimia yaliyosemwa na The Boss..........hivi ikitokea anakukorofisha/anakuacha ukimkusanyia cards zoooote ukamtumia!! hawezibadili mawazo? haiwezi kutrigger mapenzi ya mwanzo??? hahahahhah

usijaribu...
 
Back
Top Bottom