Saint H.Jr
Member
- Aug 22, 2013
- 47
- 40
Virus vinaishi kwenye damu. Watu wamejaribu kupambanua njia tofauti tofauti za maambukzi. Ila njia ni moja tu. Kukiwa na muingiliano wa damu kati ya muathirika na asiye athirika.
Kwa wanawake ni rahisi sana kuambukizwa kutokana na jinsi maumbile yao yalivyo. Katika uke wa mwanamke kuna chembe chembe nyeupe za damu nyingi hususni wa kati wa tendo husika. Na tunajua HIV huwa vinaishi ndani ya WBC.
Ishu za manii ama orgasm fluids zinapotoka huwa hazina uhalisia wa moja kwa moja wa kuwa na VVU
Kama mwanamke ndiye ana virusi vinavyosababisha ukimwi na mwanaume hana, mwanaume anaweza asiambukizwe virusi hivyo endapo hakutakuwa na misuguano mikubwa itakayosababisha michubuko wakati wa kuingiliana (katika uke). Hii inaweza kuwa kwa sababu mwanamke alikuwa ametoa vilainisho vya asili au walitumia mafuta ya maji ya kulainisha.
However it is not worth it kwenda kavu hata mwanamke awe wa aina gani.
Inawezekana kabisa ndugu! Kama kila anaelala na mwenye ukimwi bila condom angekuwa anaambukizwa basi tungekuwa tumeisha. Asilimia kubwa ya watu hawavai condom, na wengi wanafanya ngono kama hobby, all in all your theory is right.
Mkuu,vipi kuhusu mbadilishano wa manii,maana si wote mtafika kileleni kwa maana ya wote kutoa semen?
Mkuu,hapa inamaanisha fluids si kitu for AIDS career?
Mkuu what I can assure you is that all fluids in human body is AIDS career. The most important thing is that make sure you know the difference between AIDS and HIV may be that can help to understant what I meant.
Kuna jamaa yangu baada ya kugonga demu ambaye inasemekana ameumia,huwa anajitetea eti unaweza ukalabua kavu na usipate.
Weeeee,labda ukimwi wa kichina huo,wabongo mnavyojua kusimamia show,kutoambukizwa ni bahati sana
Mkuu,vipi kuhusu mbadilishano wa manii,maana si wote mtafika kileleni kwa maana ya wote kutoa semen
Mkuu what I can assure you is that all fluids in human body is AIDS career. The most important thing is that make sure you know the difference between AIDS and HIV may be that can help to understant what I meant.