MmatengoOG
Member
- Sep 1, 2020
- 28
- 26
Watu wengi sana wamewahi peleka documents zao ili wapate uwakala wa MPESA, TIGO PESA NK. Lakini TILL zao zilipotoka waliuziwa watu wengine. Maana now unachukua documents zile zile unaambiwa Till yako ilishatoka na hawatoi mara mbili kwa documents zile zile.
Kwa nini tusiungane na kuzishtaki haya makamuni yakatufidia?
Kwa nini tusiungane na kuzishtaki haya makamuni yakatufidia?