Amyner
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 2,397
- 877
.
Kha! Kumbe we mkaka dili..
lol.. we una mchokoza mwenzio..!
B2T ufupi sio ishu, trust yourself.. Kama mmependana thats all that matters.
.
Kha! Kumbe we mkaka dili..
Na afafanue wakitembea nae kwa style gani, maana katumia tungo tata kibao!Amekuzidi urefu wa wapi vile?
Kunako majamboz vipi? Maana warefu wanavitobelo virefu kweli!
Acha kuchanganya madawa,
We si umesema ana sifa zote unazozitaka?
Ikiwemo hiyo ya urefu ndio maana ukam-select????sasa unatuhoji nini tena mkuu?
Au unamaanisha "urefu wa sketi v/s urefu wa suruali?"
nimepata gf ambaye tunapendana sana tu. ana sifa ninazozitaka kuwa mke wangu, lakin nikitembea nae njiani najisikia inferior coz mie mfupi af yeye mrefu. niendelee nae au nitafte mfupi mwenzangu. (honestly I love her tatizo ni urefu tulopishana tu)