GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,866
- 109,560
Nakumbuka ni Wiki mbili tu ulisema tena kwa Hasira zako za Kwetu ‘ Uzanakini ‘ Mkoani Mara kuwa hupendi tabia ya Wakuu wako wa Polisi wa Mikoa ( RPC’s ) ya Kuwakamata Watu ambao hata bado Mahakama haijawahukumu na Kuwaonyesha hovyo mbele ya Vyombo vya Habari huku ukisema kuwa huko ni Kutafuta tu Sifa au Kujiingiza katika Siasa za Kipuuzi na ukasema kuwa Kisijirudie tena.
Lakini leo hii tena kwa Jeuri kabisa huku akionekana akijiamini na pengine kudhihirisha kuwa Yeye analijua vyema Jeshi la Polisi kuliko Wewe RPC wa Dodoma Afande Muroto amekirudia Kitendo kile kile ambacho Bosi wake IGP Sirro alikipinga na Kukikataa cha Kuonyesha Wahalifu wa Pesa mbele za Vyombo vya Habari.
Kwa aina tu ya ‘ Body Language ‘ ya RPC Muroto sasa GENTAMYCINE naanza kupata Hisia kuwa Wawili hawa IGP Sirro na RPC Muroto wana ‘ Bifu ‘ moja matata na la hatari mno ambalo nahisi linaweza Kuondoka na Mmoja wao Siku si nyingi.
Hapa kuna mambo makubwa mawili ama IGP Sirro hapendi Sifa na Umaarufu alionao na anaoendelea Kuupata RPC Muroto au RPC Muroto haamini na hapendezwi na Sirro kuwa IGP pengine kutokana na sababu za Kipolisi anazozijua Yeye ila kuna ' Fukuto ' kubwa baina ya Mandata ( Mapolisi ) hawa Wawili Waandamizi kabisa nchini Tanzania.
Lakini leo hii tena kwa Jeuri kabisa huku akionekana akijiamini na pengine kudhihirisha kuwa Yeye analijua vyema Jeshi la Polisi kuliko Wewe RPC wa Dodoma Afande Muroto amekirudia Kitendo kile kile ambacho Bosi wake IGP Sirro alikipinga na Kukikataa cha Kuonyesha Wahalifu wa Pesa mbele za Vyombo vya Habari.
Kwa aina tu ya ‘ Body Language ‘ ya RPC Muroto sasa GENTAMYCINE naanza kupata Hisia kuwa Wawili hawa IGP Sirro na RPC Muroto wana ‘ Bifu ‘ moja matata na la hatari mno ambalo nahisi linaweza Kuondoka na Mmoja wao Siku si nyingi.
Hapa kuna mambo makubwa mawili ama IGP Sirro hapendi Sifa na Umaarufu alionao na anaoendelea Kuupata RPC Muroto au RPC Muroto haamini na hapendezwi na Sirro kuwa IGP pengine kutokana na sababu za Kipolisi anazozijua Yeye ila kuna ' Fukuto ' kubwa baina ya Mandata ( Mapolisi ) hawa Wawili Waandamizi kabisa nchini Tanzania.