kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,305
- 6,350
Asee nilikuwa sijui jina lake ila nishawahi muona, Ni muoga. Spidi yake kwenye nyasi zilizokauka sijui nifananishe na nini.anaitwa pambe..hana sumu,ana mbio balaa
Asee nilikuwa sijui jina lake ila nishawahi muona, Ni muoga. Spidi yake kwenye nyasi zilizokauka sijui nifananishe na nini.anaitwa pambe..hana sumu,ana mbio balaa
Fanya editing hapa mkuuNyoka ni nyoka awe na sumu asiwe na sumu namuogopa tu.
Tayari mkuu, asante.Fanya editing hapa mkuu
Enhee nkoi onishingwandila ugoyomba, akayoka kanako Ka-Pambe
DuSi kweli. Kuna viumbe jamii ya binadamu hulazimisha tuwatambue kwa makalio yao.
Mkuu tuwekee picha ya type hizo mbili kwa msaada zaidi.
Naona mnajiachia tu matumbo juu vifua mbele,na hivi nchi ni yenu basi wengine hatuna kauli.Ga pambe agayoka genako.
Gadena sumu gete.