Je, huyu ni nyoka aina gani?

Je, huyu ni nyoka aina gani?

snake 01.jpeg

Hawa ni Nyoka wa kundi linalotambulika kitaalamu psammophis,

Rear-fanged and mildly venomous and not considered dangerous to man.
 
Nyoka huyu , ni poisonous. Lakini haumi hovyo hovyo. Huwa na rangi ya mjusi. Nyoka huyu ni mwoga sana anapohisi kuna adui.
Wasukuma wafugaji wa nyoka, hawapendi kumfuga nyoka huyu kwa sababu huwa Hachanganywi pamoja na nyoka wengine. Akichanganywa na nyoka wengine, huwa anawauma na kubaki peke yake. Hapo ndipo nyoka huyu huonekana kuwa ni poisonous. Hafugiki, ukimkanyaga au kumbana, anakugonga.
 
Mkuu tuwekee picha ya type hizo mbili kwa msaada zaidi.
Kichwa cha nyoka ndiyo kina weza kukufanya ujue ni wa sumu au laah!!

Wanasema kama kichwa ni round hana sumu ila kama kipo kama triangle huyo ni hatari!!
 
Ili umtambue nyoka kuwa ana sumu au la
lazima kichwa na mkia wake(mwishoni) vionekane.
kinyume na hapo ni vigumu sana.
 
Hana shida na mtu huyu. Sawa na wale nyoka wa kijani. Mikoa ya pwani Wanamwita mcheza na wari. Nadra kusikia amemuuma mtu.

Ila mimi binafsi nyoka nawaogopa hatari. Hata hiyo picha tu nafsi imesisimka.
 
View attachment 861406
Habari wana jamvi, nimemuua huyu nyoka leo karibu na nyumbani kwangu. Kwa wale wataalam wa hawa viumbe, je huyu ni nyoka aina gani? Ni poisonous au non-poisonous?
Tambalio lake (tumbo) ni la rangi ya njano njano!
Ahsanteni
Mkuu hawa nyoka huitwa "NYOKA WA DAR"mara nyingi vinapenda sana kukaa kwenye mikorosho na minazi...
Hawa nyoka wana sumu japo siyo nyoka hatarishi kama koboko
 
Sisi Waafrika bana!!...Sasa kwa nini umemuua?kwani nyoka ana shida/tatizo/athari gani hadi umuue??!
 
Huyo hana shida na binadamu yeye hutafutana sisimizi na wadudu kama chakula basi. Umepoteza Kiumbe muhimu kwenye mazingira yako.
Mkuu huyo nyoka ana sumu kali mno ila ngumu sana kukuuma yaani mpaka akoswe kabisa pa kukimbilia ndo anaweza kukuuma ila ni nyoka rafiki sana kwa binadamu,haumi hovyo kama nyoka wengine
 
Nyoka huyu , ni poisonous. Lakini haumi hovyo hovyo. Huwa na rangi ya mjusi. Nyoka huyu ni mwoga sana anapohisi kuna adui.
Wasukuma wafugaji wa nyoka, hawapendi kumfuga nyoka huyu kwa sababu huwa Hachanganywi pamoja na nyoka wengine. Akichanganywa na nyoka wengine, huwa anawauma na kubaki peke yake. Hapo ndipo nyoka huyu huonekana kuwa ni poisonous. Hafugiki, ukimkanyaga au kumbana, anakugonga.
Ni kweli kabisa inasemwa huyu ndo ana sumu kuliko nyoka wote yaani ye huongoza wengine wanafuata
 
Huyu hana sumu wapo wengi mno kule kwetu Wanapenda kukaa kwenye majani makavu
 
Back
Top Bottom