Satoshi Nakamoto
Senior Member
- May 28, 2017
- 110
- 466
Habari wana jamvi, nimemuua huyu nyoka leo karibu na nyumbani kwangu. Kwa wale wataalam wa hawa viumbe, je huyu ni nyoka aina gani? Ni poisonous au non-poisonous?
Tambalio lake (tumbo) ni la rangi ya njano njano!
Ahsanteni
UPDATE KUTOKA KWA MDAU:
View attachment 861488
Hawa ni Nyoka wa kundi linalotambulika kitaalamu psammophis,
Rear-fanged and mildly venomous and not considered dangerous to man.