Je, huyu mwanaume ana malengo?

Je, huyu mwanaume ana malengo?

Jamaa inawezekana kuwa anampenda kweli ila hana ramani kwa sasa. Hujazungumzia jamaa ni graduate au ana mishe gani? Other than that muuni anainjoy economies of scale.

Jamaa amesoma na ana masters ila ni mjasiliamali, ana hela ndogo kuliko mdada, ila anahudumia familia yake vizuri, mamake na dadake hawakosi kodi na kula yeye ndio anasimamia shoo ila kwa demu wake hata kitunguu hajawahi kupeleka ila akienda lazima aulize kumepikwa nini?
 
Sema nini uyo rafiki yako ndo wewe, au basi!
 
Mwamba bado anasubiria michongo ikae sawa huyo bidada atulie.

Wakati mwingine huwa tunafanya delaying tactics ili kuweka mambo sawa.

Usikute msela anaweka sawa ghetto lake ili siku akimpeleka mdada kumtambulisha asiende kulala chini au mzungu wa nne na mawifi zake.

Pengine wazazi wa mwamba wako kwenye conflict anasubiri hali ya hewa itulie ndiyo ampeleke manzi.

Wanaume ndivyo tulivyo tatizo lenu wadada wa siku hizi mapenzi mnajifunza kwenye movie za kifilpino na Korea ndiyo maana mnakuwa na papara.

Delaying technics hata kumtambulisha kwao basi, bi dada apate moyo
 
Usizunguruke saana, unamsingizia mdada asiyekuwepo, 😂🤣
Kifupi mchizi ni msanii, anakuyeyusha.

Njoo kwangu, ukija kesho Jumatatu asubuhi, mchana naenda kukutambulisha maskani, ukija usiku asubuhi naenda kukutambulisha.

Wewe tu, ila ukija usiku ndio vizuri 😂🤣, ili kesho uamkie kwa mkweo maana anapikaga maandazi matamu saana na chapati zimeenda shule.
 
Jamani habari zenu,
Naomba ushauri kwa niaba ya rafiki yangu mmoja amejikuta yupo dilema juu ya haya mahusiano yake.

Amekua kwenye mahusiano na mwanaume kwa miaka miwili sasa. Mwanaume huyo hajawahi kumsaidia kwa chochote wa kumpa chochote huyo mwanamke , hata chokoleti zawadi hajawahi.

Mwanaume huyo anachojua ni kwenda nyumbani kwa mdada kula na kulala na sometimes mdada akisafiri , mwanaume huyo anamuangalizia nyumba na vinginevyo.

Jamaa huyo amekua akimdanganya mdada kwa nyamati tofauti tofauti juu ya suala la ndoa ama kutambulishwa kwao, alimdanganya huyo mdada kwamba mwezi wa nne 2022, atamtambulisha na muda ulivofika jamaa akabaki kimyaaaa, baadae akamwambia mwezi wa nane anaona jamaa haongelei lolote kuhusu hilo jambo.

Mdada wa watu amechoka sasa, haelewi kma jamaa anampenda au anamtumia tu. Jamaa hataki story za ndoa akigusiwa ni kama ana panic. Jamaa bado anaishi kwao anavyosema so akija kwa huyu mdada ni kama anajificha ficha. Anawadanganya kwao yupo kazini shifti ya usiku.

Inshort huyo dada haelewi position yake na hajui anamuulizaje zaidi huyo mkaka.

Na mkaka huyo amekua hodari ku hack simu ya mdada na kufatilia msgs na maongezi yote. Incase mdada akichati na mwanaume hata kidogo jamaa anagundua nakuja kumwambia kila kitu.

Anaomba ushaurikwa umri wake umeenda na yeye anataka ndoa na jamaa hamuelewi kabisa. Je hapo kuna mapenzi? Au jamaa anapitisha muda tu?
kuna mchongo naskilizia..........
 
Wakati sie tunaambulia vibuti tuu huku pm kutoka kwa warembo wa jf.
Ila huyu mrembo atakuwa desparate sana na ndoa....i suspect demu hana tako

My dia, ni mzuri, ana umbo namba nane, alafu natural color, she is good na ana kazi yake nzuri tu
 
Dada zetu mnahuruma saana
FB_IMG_16613754803432647.jpg
 
Alafu nakwambia huyu itakuwa jamaa anampeleka moto vizuri.
Nothing confuses an educated woman than a jobless man that fvcks her well
Na siraha ni kuwabandua vyema tu hakuna lingine, huyu mleta uzi usikute ni rafiki au ndugu wa uyo mwanamke sasa anamuona jamaa kidampa wakati dadaake anakula raha kubanduliwa vizuri
 
Na siraha ni kuwabandua vyema tu hakuna lingine, huyu mleta uzi usikute ni rafiki au ndugu wa uyo mwanamke sasa anamuona jamaa kidampa wakati dadaake anakula raha kubanduliwa vizuri
Alafu asikwambie mtu hawa wanawake wanakuwaga na wivu sana kama mwenzie anatombwer vizuri huku yeye akiwa anachafuliwa tuu.
Itabidi tukukabidhi huyu mrembo mpelekee moto vizuri ili nae apate tulizo la mbususu yake🤣🤣🤣🤣
 
Kama anafuatiliwa basi na yeye amfuatilie inawezekana jamaa ameshaoa huyo tayari
 
Back
Top Bottom