Princess maryam
Member
- Mar 25, 2021
- 94
- 228
- Thread starter
- #41
Dada hivi hii awamu ya tozo unadhani tunaoa?
Why not
Dada hivi hii awamu ya tozo unadhani tunaoa?
Jamaa inawezekana kuwa anampenda kweli ila hana ramani kwa sasa. Hujazungumzia jamaa ni graduate au ana mishe gani? Other than that muuni anainjoy economies of scale.
Kiduku kilikuja kikapotea.
Mabaharia naona wamegoma kutoweka![]()
Huyo mwanamke ni useless kabisa....wacha mwana aendelee tuu kumkojolea
Wewe ndo huyo mdada usifiche acha tukuumbue!,mbona nami huwa wananiumbua humu! By the way hatuna Cha kukushauri.
Useless kwa sababu mwanamke anaye jithamini hawezi vumilia huo ujingaWhy useless tena, afanyaje sasa?
Mwamba bado anasubiria michongo ikae sawa huyo bidada atulie.
Wakati mwingine huwa tunafanya delaying tactics ili kuweka mambo sawa.
Usikute msela anaweka sawa ghetto lake ili siku akimpeleka mdada kumtambulisha asiende kulala chini au mzungu wa nne na mawifi zake.
Pengine wazazi wa mwamba wako kwenye conflict anasubiri hali ya hewa itulie ndiyo ampeleke manzi.
Wanaume ndivyo tulivyo tatizo lenu wadada wa siku hizi mapenzi mnajifunza kwenye movie za kifilpino na Korea ndiyo maana mnakuwa na papara.
Baharia toka buza,ana idunda tu k ya mdada
Ndio raha ya kupendwa hio huombwi hata mia then you monopolize that piece of cupkake, nobody hits it but you!![]()
kuna mchongo naskilizia..........Jamani habari zenu,
Naomba ushauri kwa niaba ya rafiki yangu mmoja amejikuta yupo dilema juu ya haya mahusiano yake.
Amekua kwenye mahusiano na mwanaume kwa miaka miwili sasa. Mwanaume huyo hajawahi kumsaidia kwa chochote wa kumpa chochote huyo mwanamke , hata chokoleti zawadi hajawahi.
Mwanaume huyo anachojua ni kwenda nyumbani kwa mdada kula na kulala na sometimes mdada akisafiri , mwanaume huyo anamuangalizia nyumba na vinginevyo.
Jamaa huyo amekua akimdanganya mdada kwa nyamati tofauti tofauti juu ya suala la ndoa ama kutambulishwa kwao, alimdanganya huyo mdada kwamba mwezi wa nne 2022, atamtambulisha na muda ulivofika jamaa akabaki kimyaaaa, baadae akamwambia mwezi wa nane anaona jamaa haongelei lolote kuhusu hilo jambo.
Mdada wa watu amechoka sasa, haelewi kma jamaa anampenda au anamtumia tu. Jamaa hataki story za ndoa akigusiwa ni kama ana panic. Jamaa bado anaishi kwao anavyosema so akija kwa huyu mdada ni kama anajificha ficha. Anawadanganya kwao yupo kazini shifti ya usiku.
Inshort huyo dada haelewi position yake na hajui anamuulizaje zaidi huyo mkaka.
Na mkaka huyo amekua hodari ku hack simu ya mdada na kufatilia msgs na maongezi yote. Incase mdada akichati na mwanaume hata kidogo jamaa anagundua nakuja kumwambia kila kitu.
Anaomba ushaurikwa umri wake umeenda na yeye anataka ndoa na jamaa hamuelewi kabisa. Je hapo kuna mapenzi? Au jamaa anapitisha muda tu?
Wakati sie tunaambulia vibuti tuu huku pm kutoka kwa warembo wa jf.
Ila huyu mrembo atakuwa desparate sana na ndoa....i suspect demu hana tako![]()
So why she not putting that education to decipher such a simple issue au de libolo la mjama linamchanganya 🤣🤣🤣🤣🤣My dia, ni mzuri, ana umbo namba nane, alafu natural color, she is good na ana kazi yake nzuri tu
Na siraha ni kuwabandua vyema tu hakuna lingine, huyu mleta uzi usikute ni rafiki au ndugu wa uyo mwanamke sasa anamuona jamaa kidampa wakati dadaake anakula raha kubanduliwa vizuriAlafu nakwambia huyu itakuwa jamaa anampeleka moto vizuri.
Nothing confuses an educated woman than a jobless man that fvcks her well
Alafu asikwambie mtu hawa wanawake wanakuwaga na wivu sana kama mwenzie anatombwer vizuri huku yeye akiwa anachafuliwa tuu.Na siraha ni kuwabandua vyema tu hakuna lingine, huyu mleta uzi usikute ni rafiki au ndugu wa uyo mwanamke sasa anamuona jamaa kidampa wakati dadaake anakula raha kubanduliwa vizuri